'Friends of Regia' kukutana DSM Kumuenzi Regia (27 Jan 2012)

noted mkuu S Mtsimbe! Ila ni ngumu! Tunamsubili pakajimy atupe ilivyokuwa Atown...Dar kuna watu usalama hawalali kutaka kujua baadhi ya Id humu ni kina nani, tusije tukawarahisishia

Haaaa haaaa, Dunia ya Utanda wazi hii . . . chchote chawezekana. Ila wakushike kwa sababu ipi? Nchi ya utawala wa sheria hii.

Hivi Zeutamu alikamatwa? au issue yake iliishia vipi?
 
Naomba kwa msiba huu iwe chachizo kwa membars tuanze kujipanga, kimkoa, kikanda, then as a nation.
Bila kupoteza wakati nahitaji membars tuliopo Rock City - Mwanza jitambulisheni chini majina yenu kuufatia uzi huu, tukishapata idadi yetu, ndiyo ifate hatua ya jinsi gani tukutane.
 
Baadhi ya Wana JF waliokutana katika Ibada ya Kumwombea Marehemu Mh. Regia Mtema Kanisa katoliki Segerea. Wana JF hawa wanapendekeza kuwa ipangwe siku maalumu hivi karibuni ambayo wana JF na Wadau mbalimbali watakutana British Council na kujadili yale yote aliyosimamia Regia na nini cha kuiga toka kwake na kufanya ikiwa ni njia mojawapo ya JF kumuenzi marehemu Mh. Regia Mtema.

Tunapendekeza kuwa tukutane British Council siku ya Ijumaa Tarehe 27-01-2012 kuanzia saa 11jioni hadi saa 2 Usiku. Vinywaji na light foods vitakuwepo. Pia tutafanya maarifa kuwepo na Skype Conferencing ili waliopo nje ya Nchi watakaopenda kushiriki wafanye hivyo. Kwa kila anayeweza kuchangia kufanikisha Mkutano huu anaombwa awasiliane na Maxence.

Kushiriki kwa Skype: Add the following ID: jamiiforums

Updates:

Waliothibitisha kushiriki ni:

1. Sanctus Mtsimbe
2. Maxence Melo
3. Josephine Mshumbusi
4. The Finest
5. Nyani Ngabu - skype
6. AfroDenzi - Skype
7. Mrembo by Nature - Skype
8. Jason Bourne
9. Pretty - Skype
10. Lizzy
11. Duduwasha - Skype

Sidhani kama ni vyema kusema kabisa mnakutana wapi,....wange thibitisha wanao taka kushiriki
then kama wapo dar mkawa notify at lest 4hours kabla.
It's not safe kujulikana JF members wanakutana wapi na lini.
 
Adding an account kwenye skype yangu inaleta white screen which stays there for ever
na siwezi kuadd.Google doesn't help solving the problem.
Nita confirm kesho kama nitashiriki hiyo 27.1 physically.
 
Sidhani kama ni vyema kusema kabisa mnakutana wapi,....wange thibitisha wanao taka kushiriki
then kama wapo dar mkawa notify at lest 4hours kabla.
It's not safe kujulikana JF members wanakutana wapi na lini.
unaogopa nini?
Hii si mara ya kwanza wana JF kusema wanakutana wapi na lini ? Na hakuna
Kilichotokea.
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom