Hivi yule dada kwenye picha anayeuliziwa sana na Nyani Ngabu ndiyo AD (AfroDenz/AshaDii)?
Sisi wa skype tuna contribute vipi kwenye huo mkutano in terms of resources?
Mkuu wadau wameshakubaliana kule Skype. Watatumia text chat. na anayetaka kuongea, atawekwa kwenye PA ili asikike baada ya kupigiwa Voice call. Inabidi aandike kwa tect kuwa anataka kuongea.
Jamani wana jf siyo kila kitu Dar bwana kwanini isiwe Mwanza pale Gold Crest Hotel?
Hivi yule dada kwenye picha anayeuliziwa sana na Nyani Ngabu ndiyo AD (AfroDenz/AshaDii)?
Mkuu naomba niweke katika kundi la Washiriki kwa njia ya Skype.Karibu sana Mkuu.
So far so good!
Sasa hivi tuna zaidi ya participants 30 Skype