Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 203
kaka Yahya kama kuna janga la kitaifa kwenye nchi hii ni Job Ndugai. Tangu alivyofanya mdahalo na Lissu na kushindwa saaaaana, amekuwa ana maamuzi ya ooovyo. Yeye ni refa mwenye kadi nyekundu ambayo ni kwa ajili ya upinzani tu
Kwani Dr. faustine Ndugulile aliyetolewa jana naye ni upinzani?