Friday night live ni jipu lililoiva

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Apr 23, 2015
18,783
66,961
Hiki kipindi kwa muda mrefu kimekuwa hakizingatii maadili hasa kwa kina dada wanaoenda hapo studioni kwa ajili ya interview, wengi wao wamekuwa wakivaa nusu uchi kama si uchi kabisa. Wahusika mnaohusika na maadili mko wapi? Hebu angalieni jinsi ya kutumbua hilo jipu
 
Hiki kipindi kwa muda mrefu kimekuwa hakizingatii maadili hasa kwa kina dada wanaoenda hapo studioni kwa ajili ya interview, wengi wao wamekuwa wakivaa nusu uchi kama si uchi kabisa. Wahusika mnaohusika na maadili mko wapi? Hebu angalieni jinsi ya kutumbua hilo jipu


LABDA WEWE NDIE JIPU! MBONA WENGINE HATUKILALAMIKII? KINATUSUUZA NA KUTUKONGA NYOYO ZETU! HAYAKUHUSU! NA UKOME!
 
Hiki kipindi kwa muda mrefu kimekuwa hakizingatii maadili hasa kwa kina dada wanaoenda hapo studioni kwa ajili ya interview, wengi wao wamekuwa wakivaa nusu uchi kama si uchi kabisa. Wahusika mnaohusika na maadili mko wapi? Hebu angalieni jinsi ya kutumbua hilo jipu
Mkuu umekuja lini mjini?
 
Hiki kipindi kwa muda mrefu kimekuwa hakizingatii maadili hasa kwa kina dada wanaoenda hapo studioni kwa ajili ya interview, wengi wao wamekuwa wakivaa nusu uchi kama si uchi kabisa. Wahusika mnaohusika na maadili mko wapi? Hebu angalieni jinsi ya kutumbua hilo jipu
"..Wale Mabinti Wako Kwenye Mnada pale, This World is Changing.."
 
Hiki kipindi kwa muda mrefu kimekuwa hakizingatii maadili hasa kwa kina dada wanaoenda hapo studioni kwa ajili ya interview, wengi wao wamekuwa wakivaa nusu uchi kama si uchi kabisa. Wahusika mnaohusika na maadili mko wapi? Hebu angalieni jinsi ya kutumbua hilo jipu

Angalieni Signature yake invyosema,msiumize vichwa saaana.

Ila yote kwa yote:
Ni kwamba Wenye kumiliki vituo hivyo mwisho wa siku Mungu yupo,wala hafi,Biblia na qur`aan hazibadilishi maandiko kwa kubadilika kwa dunia,maana yote yameishatamkwa humo na namna mungu anavyotaka tuishi.
Kwahiyo kasi ya ukuwaji wa Teknolojia ndio pia kasi ya idadi ya watakaoonja adhabu za Mungu hapa duniani na huko mbele ya safari.
Sasa kama akili yako inachukulia kwamba kila kinachokuja duniani ni kipya basi wewe upo mbali saana na kanisa na Msikiti,na inaonekana upo mbali na maandiko.Na kuamua kuishi upendavyo na kumfanya mungu kama vile unamdanganya yeye.

Kizazi bora chenye maadili,mungu hukipa baraka na neema zake hapa duniani na huko Akhera,na pia mungu hukipa faraja kizazi hiki ambapo faraja hiyo mie na wewe kama binaadam wa kawaida hatuwezi kuiona kwa macho ila ni wahai wa Mungu mwenye Nguvu alieumba yoote tunayoyaona na yanayokuja na yote tunayoyaona ni mapya basi yamo kwenye maandiko ambapo mungu ametoa muongozo wa kuishi kwa Viumbe wake.
"Mungu atuongoze na atunusuru sie na vizazi vyetu"Ameeen
 
Hiki kipindi kwa muda mrefu kimekuwa hakizingatii maadili hasa kwa kina dada wanaoenda hapo studioni kwa ajili ya interview, wengi wao wamekuwa wakivaa nusu uchi kama si uchi kabisa. Wahusika mnaohusika na maadili mko wapi? Hebu angalieni jinsi ya kutumbua hilo jipu
Hapa utakua unamzungumzia GIGY MONEY tu, yule dada amekaa kibiashara biashara muda wote, na wakati wenzie wanajiuzia kwenye bara bara, ye kaamua kujiuzia pale EATV
 
wewe ndo jipu. kipindi kinaitwa Friday night kinaanza saa 5 usiku tena kinarushwa chanel ya vijana. hizi dalili zote zinaonesha hiki sio kipindi cha kutazamwa na watoto. sasa kama unakaa sebuleni na family yako unatazama Friday night live hilo umejitakia mwenyewe, kama unataka maadili weka tbc.
 
wewe ndo jipu. kipindi kinaitwa Friday night kinaanza saa 5 usiku tena kinarushwa chanel ya vijana. hizi dalili zote zinaonesha hiki sio kipindi cha kutazamwa na watoto. sasa kama unakaa sebuleni na family yako unatazama Friday night live hilo umejitakia mwenyewe, kama unataka maadili weka tbc.
saa 4 mkuu na wala si saa 5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom