na kwako mamdogo! vp umeshatoka kwa hospital??vipimo vinasomekaje??get well imediatly!Pumzikeni salamaView attachment 41063
Mamito hujambo ? nimechelewa kuiona samahani hapa niko club nimechoka na Taquilla za kupima nimechukua chupa nzima na chumvi/ndimu zangu pembeni,jumamosi vipi utakuwa wapi ?Nani atakuja kawe club kwenye samaki wa kuchoma.
Babii vipi? kuna issue wekend hii?
Mamito nilikwama kwenye jukwaa la celebrite hata sikuiona hii lol!Nani atakuja kawe club kwenye samaki wa kuchoma.
Babii vipi? kuna issue wekend hii?
Mamito nilikwama kwenye jukwaa la celebrite hata sikuiona hii lol!
Sie kwetu leo kuna mdada kajifungua analetewa besen hata sijui ndio shuhuli gani nataka niishuhudie!
Karibu mamito!
Nani atakuja kawe club kwenye samaki wa kuchoma.
Babii vipi? kuna issue wekend hii?