kwa wale waliokuwa wanahitaji frequency za TBC 2 hizi hapa
Intelsat 802ku-32.9 TBC1-11691-4000. TBC2-11178-3671
Mkuu, hizi ni satellite freequency hivyo nilazima uwe na dish... We kama bado uko kwenye hapo hapo aaaagh umearibu zungushia posta umeumia Lol!Hyo inakuaje? Au nimpka uwe na dishi? Au unaweza ku2mia na antena ya kawaida?
Kulingana na maelezo yao TBC/Star Media, hiyo TBC2 ikianzishwa tu inaingia automatically. Mimi sikuwa na taarifa kama tayari imeanzishwa! Hawa TBC wakituwekea na SuperSport itakuwa bomba sana!!ndugu mtoa mada inakuwaje kwa wale ambao tayari tuna decorder za TBC/STAR MEDIA, au hiyo TBC2 inaingia automatically?
Best dishi lazima kwa antena haziwezi!Hyo inakuaje? Au nimpka uwe na dishi? Au unaweza ku2mia na antena ya kawaida?
802ku-32-9 kuipata kwa Bongo ni ishu sana, hasa sisi tunaotumia MediaCom.
Kwa hivyo wenye receiver za media com tumeliwa? maana kuna jamaa yangu jana usiku kanipigia simu anauliza kama nimejaribu kuuingiza hizi frequency maana yeye ameshindwa kupata na anatumia receiver ya media com. kama kwa receiver hupati tafadhali mtufahamishe decorder za TBC nje ya Dar zinapatikana wapi, jamaa yangu yuko Moro!
Mkuu,labda inawezekana kama eurostar wanayo Intelsat 802ku-32.9 na dish lako lina zunguka unaweza kuipata!Cath eeh, je ukiwa na receiver nyingine kama eurostar inaweza patikana au ni vilevile?
KAMA TBC2 IKO KWENYE SATELLITE YA INTELSAT 802,32.9 Deg.East MTAKOMA INABIDI KUBADIRISHA UELEKEO WA MADISH YENU KUIFUATA NA HAPO UTAPATA TBC2 PEKE YAKE TOFAUTI NA INTELSAT 906 64Deg East YENYE ITV, STAR ,EATV,CHANNEL10 UBC,MOZAMBIQUE,ANGOLA, NK...Frequncy za TBC 2 hizi hapa kwa wale waliokuwa wanahitaji frequency za TBC 2 hizi hapa Intelsat 802ku-32.9 TBC1-11691-4000. TBC2-11178-3671