BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Tusubiri...huenda amepiga kambi mahali...
Annina
Kenda kuufanyia tizi mdumange kambini akirudi huko kazi kwako Mwanafunzi atakuwa ndiyo kama Mwalimu...LOL!
Tusubiri...huenda amepiga kambi mahali...
Annina
Kenda kuufanyia tizi mdumange kambini akirudi huko kazi kwako Mwanafunzi atakuwa ndiyo kama Mwalimu...LOL!
Wanasema ukiona nyani mzee ujue kakwepa mishale mingi..........uzoefu ni kitu muhimu sana mwache aingie darasani watu watashinda kiulaini kwa uzoefu tu!
Annina
Hahahahahahah ushindi wa kiulaini kabisa na huku BOSS akiomba next time iwe ngoma aliyoizoea zaidi ya mduara na siyo mdumange tena maana kishapigwa mueleka na hatapenda kupigwa mueleka mwingine....LOL!
Wembe ukishafanya kazi atatimua vumbi tu...hamu ya kurudi hatakuwa nayo!
Annina