Paragons
Member
- May 3, 2016
- 60
- 46
Habari zenu wakuu;
Naomba radhi kwa wale wote walioshindwa kunipigia jana wakati soma la Kifaransa linafundishwa star t.v; inasababishwa na watu wachanche ambao wakipiga simu hawataki kuachia line kwa watu wengine. Kwa wale wapenzi wa lugha ya KIFARANSA, nawaomba msikate tamaa, hata kama somo linakua limepita, unaruhusiwa kunitafuta kwa muda wako kama bado unahitaji msaada zaidi.
Merci!
Naomba radhi kwa wale wote walioshindwa kunipigia jana wakati soma la Kifaransa linafundishwa star t.v; inasababishwa na watu wachanche ambao wakipiga simu hawataki kuachia line kwa watu wengine. Kwa wale wapenzi wa lugha ya KIFARANSA, nawaomba msikate tamaa, hata kama somo linakua limepita, unaruhusiwa kunitafuta kwa muda wako kama bado unahitaji msaada zaidi.
Merci!