Ipo changombe -temeke karibu na maduka mawili
piga namaba 0713 689665 kwa maelezo zaidi
Jamani wapendwa, bei ni Tshs. 70,000/= kwa mwezi na mkataba ni wa miezi 6 . Kodi hii ni nje ya gharama za umeme na ulinzi.
Ukubwa mtanisamehe maana mimi ni mama nimesahau ukubwa wa vyumba vyangu.
Fremu zinatazama barabara ya changombe
Nadhani nimeeleweka kiasi, ukubwa wa chumba nitatoa kesho Mungu akijalia
wenye nyumba mnaringa ana na nyumba zenu haya>............Pole sana na samahani kwa BIASHARA YA POMBE SIRUHUSU
wenye nyumba mnaringa ana na nyumba zenu haya>............
Nashukuru sasa panafaa kwa biashara gani?? Mama ntilie inalipa? (chai , maji, juice, soda, maziwa) au nayo hauruhusu?
Panafaa biashara hiyo na ninaruhusu biashara ya chakula na vinywaji kama ulivyosema karibu......