Frem ya biashara inahitajika dar

Lasthope

Senior Member
Jun 5, 2008
149
6
Nataka nijiunge na jukwaa la wajasiriamali jamani ili nijikwamue na ugumu wa maisha bongo maana kila kitu kimepanda bei ila mishahara iko palepale. Jamani anayejua napoweza kupata frem sehemu yenye watu wengi anitonye hapa ili niifukuzie. Thanks
 
Back
Top Bottom