Nataka nijiunge na jukwaa la wajasiriamali jamani ili nijikwamue na ugumu wa maisha bongo maana kila kitu kimepanda bei ila mishahara iko palepale. Jamani anayejua napoweza kupata frem sehemu yenye watu wengi anitonye hapa ili niifukuzie. Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.