MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,640
- 33,421
its true, it is unbelievable to some people who do not want to learn how the world is going, they believe everything from these spiritual leaders, they respect each and everything they are told to do! It is amazing! I hope the one is linked with papacy position! A very respectful church leader in the world; religiously, politically, socially and even economically!
Mnashangaza sana! mnashangaa wengine kuamini wanachoamini while hata wewe umeaminishwa kama hayo unayoamini ukaamini! Maana yake unataka tuamini unachoamini kwakuwa unaakili sana na wewe ndio uliyefanya utafiti bora kabisa duniani kujua ukweli kuliko waamini wengine!!
R.C kupinga Freemasons si maneno tu bali ni tamko rasmi kabisa la kanisa na ni kosa la kutengwa na kanisa! inaweza kutokea Papa akawa kwenye hizo secret society kwa siri kwasababu nao ni binadamu lakini si kwasababu ni msimamo wa kanisa.
Uzushi huu ni wa miaka mingi na kwa kila Papa na hapo ndio utajua ni uwongo mkubwa! Haiwezekani kila Papa akawa Freemasons otherwise iwe ni utaratibu wa kanisa.
Siku hizi hata watoto wa Kikatoliki wanafundishwa habari za hao Freemasons kwenye somo la dini (nimepewa ushuhuda huo na baadhi ya watoto) ili kuwatambua na kujiweka mbali nao hii ikidhihirika ni kinyume na mpango wa Kanisa.
Ache uzushi kwasababu za chuki dhidi ya Kanisa Katoliki tena kinachosikitisha wengine ni Wakristo wenzetu! Yesu tuanaemuamini alituambia sisi wote ni mwili wake kama kila kiungo kilivyo na kazi yake basi kila mtu ana umuhimu wake kukamilisha kazi yake.Kanisa halijawahi kuanzisha uzushi dhidi ya imani nyingine lakini inashangaza wengine kuamua kuwa maadui tu wa Kanisa!!