Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

Realness,dini ya kweli inajulikana kwa mtafiti wa masuala hayo,kwa kukusaidia anza na kuyagoogle majina ya "mungu" yanayotumiwa na watu,mfano,Jehova,Budha,n.k!Utajua kitu!
 
UTANGULIZI

Yapo mambo mengi sana duniani ambayo huja na kupita.mengi huwa tunayaona mageni pale tunapo yaona kwa mara ya kwanza.mfano vazi la suruali kwa wanawake.


Vazi hili miaka ya 80 halikuwepo hapa kwetu tanzania.miaka ya 90 vazi hili lilianza kutumika japo watumiaji walipata vipingamizi vingi sana kama kubakwa, kuzomewa, kutengwa, nk.watu hao walionekana katika jamii kama wasaliti wa mila.hata hivyo mpaka sasa jamii imekwisha kubali matokeo.




HISTORIA KWA UFUPI

Freemason ni shirika ambalo mambo yake ni siri kuu. Mimi nilifanya utafiki kwenye mitandao, nikafatilia historia yao kama inavyoonyeshwa mara kwa mara kwenye makala za historia katika televisheni za magharibi pamoja na kuongea na watu waliofuatilia kwa karibu mambo yao.


Kwenye maelezo yao kwa nje Free masons wanajitangaza kama shirika zuri tu.

Naomba niorodheshe mambo machache niliyoambiwa kuhusiana na Freemasonry.


1. Ni kweli Freemasonry kama ilivyo maana yake kwanza ilkuwa ni kundi la mafundi waashi (masons) au wajenzi kuwa lugha nyingine. Walikuwa ni wataalamu waliobobea kwenye masuala ya ujenzi wa mahekalu na mabenki ya zama hizo zinazoitwa kwa kizungu (medieval times).


Niliambiwa walikuwa ni watunzaji wa pesa za kanisa katoliki. Kwani walikuwa wanajenga mahekalu(cathedrals) za wakatoliki na mabenki/ mahandaki ya kuhifadhia pesa pamoja na kuzikia(catacombs).

Niliambiwa wanaweza kujenga hayo maandaki kwa utaalamu mkubwa kiasi kwamba ukiingia ndani ya hayo mahandaki bila ramani unaweza ukashindwa kutoka hata unaweza kupotelea humo humo ndani usiweze kutoka tena. Hicho ndicho kilichokuwa ni kiwango cha utaalamu wao.

2. Kwa kuwa walikuwa ni waashi ndiyo maana alama zao ni vifaa vya ujenzi, Pima maji n.k

3. Inasemekana mji mkuu wa marekani (Washington DC) ulisanifiwa na kujengwa na Freemasons. Na inasemekana ni mji makini ambao umejengwa ukizingatia pembe tatu zenye nyuzi zinazowakilisha u freemason.


3. Ikatokea kipindi ambapo hawa freemasons wakaasi kwa kuanza kujishirikisha na mambo ya nguvu za giza. Wengine wanasema walianza kuiba pesa za kanisa katoliki, lakini ukweli halisi haujulikani. Kutokana na sababu hizi na zinginezo ambazo ni siri kati ya kanisa katoliki na freemasons, Freemasons wakafukuzwa kutoka ukatoliki.
 
urongo mtupu kuhusu hiyo connection ya masons na catholic church, hawa walianzia egypt kwa king S na kuanza kuenea kidogo kidogo
 
urongo mtupu kuhusu hiyo connection ya masons na catholic church, hawa walianzia egypt kwa king S na kuanza kuenea kidogo kidogo

mmh catholic tunakazi kwelikweli mawe yoote yanakuja kwetu tuu!
ukongwe ndo tatizo aisee!
 
urongo mtupu kuhusu hiyo connection ya masons na catholic church, hawa walianzia egypt kwa king S na kuanza kuenea kidogo kidogo
Ina maana unataka kutuambia kwamba hujui kama mtandao wa Freemasons umeingia mpaka Vatcan? Mkuu unao mtandao hapo, hebu peruzi kuwanza halafu ndio urudi kujenga hoja kwenye hii mada. Unajua kwamba Pop hivi karibuni alishatoa tamko la kuwepo haja ya Dunia kuwa na mtawala mmoja? Kama unajua kwenda na alama za nyakati, hoja ya Pop inaendana na maandalizi ya kuelekea kipindi cha utawala wa Mpinga Kristo, na Freemasons ndio mtandao unaofanya maandalizi haya. Soma bible (UFUNUO) kwa utulivu, mwombe Mungu akusaidie kuelewa, then iangalie Vatcan & Freemasonry kwa umakini pia, utapata picha.
 
Kila siku yanaibuka kuhusu hawa Freemasons, sasa sijui tumuamini nani!
 
vatican ina siri nyingi sana ambazo wengu wetu hatujui,ila wachache wamejaribu kueleza inasemekana hata vile vitabu vya biblia vilivyotolewa katika biblia wengi tuisomayo vipo library ya vatican.
wengi husema vatican na freemasons ni dugu moja.na ndio hata alama nyingi za masons zipo vatican no wonder vatican kuna sheria kali na ni matajiri wakubwa. ngoja nitafute facts zaidi nitarejea kuhusu vatican.
 
Asante kwa kuweka wazi sign ambazo watu wengi kwnyjf walikuwa wakizitumia paspo kujua but cha msingi nijkum la kila mtu kuamua awe side ipi shika imani uliyonayo we kama ni non-mason sio issue hata km ukitumia symbol zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom