Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,760
- 71,140
NINA MASHAKA SANA NA HILO,MBONA KABLA YA MADARAKA VIONGOZI HAWANA HAYO MAPETE YA AJABUAJABU?Cheni ya Mkapa na pete yake...could be urembo tuu
NINA MASHAKA SANA NA HILO,MBONA KABLA YA MADARAKA VIONGOZI HAWANA HAYO MAPETE YA AJABUAJABU?Cheni ya Mkapa na pete yake...could be urembo tuu
NINA MASHAKA SANA NA HILO,MBONA KABLA YA MADARAKA VIONGOZI HAWANA HAYO MAPETE YA AJABUAJABU?
unapojiunga na chuo ukimaliza unapewa degree ya kwanza , unasomea ya pili and so on -- ina mahusiano na freemasony sio ?
jamani freemason sio watu wabaya kama wengi wanavyofikiri ni cool people sema tu wana sheria na mambo yao wanayafuata ambayo mtu wa kawaida ni ngumu sana kuyatambua kwa sababu yanafanyika kwa njia ambazo sio za kawaida sio za kibinaadamu
soma kitabu kinaitwa GREATEST WORLD SECRETS utaelewa zaidi kuhusu watu hawa na jumuiya zao
ni sawa na wale AGHA KHAN , waisilamu wa madhehebu ya SHIA , wakatoliki anglicana na so on sema freemasony sio wa wazi katika mambo yao
..nimekukubali mzee nimepata elimu kidogo kuhusu hawa mabazazi
unajua sheikh yahaya ktk prog yake ya jumatatu ktk chanel 10 anawadanganya watu kinoma maana kila kitu kwake kina alama ya mashetani na freemansons...
worm does it mean hiyo symbol ktk logo ya muhimbili ina walakini?? hivi huyo nyoka anafanya nini humo? halafu mimi hushangazwa na mapete wavaayo wakubwa/viongozi eg JK mipete yenye rangi rangi waht do they symbolise?