Acha Uvivu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 525
- 131
Mambo ya kawaida tu usiogope Muogope Mwenyeezi Mungu FreeMason hawawezi kumshinda Mwenyeezi Mungu wa pekee ndio wa kumuogopa mkuu Boflo
Very well said! Mtu unahofu tu kwa sababu uko hai, ukifa tu we si kitu. Lakini kwa nini watu wang'ang'anie kuendelea kuishi ktk dunia iliyojaa ufisadi? Hao freemasons kwani ndo wataishi milele! Mungu tu ndo mshindi, unashabikia Portsmouth wakati Barcelona ipo.