kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
- Thread starter
- #21
mbowe kweli ni jembe. huwa anaimia sana kila anapoifikiria tanzania. ni mtu wa pekee kwanza anahuruma sana. mimi ni kijana wake na ninafanya nae kazi kweli huyu kwa nza ni mbunifu na hana wivu.ukitaka kuamini hilo angalia tu chadema na kila kilichopo uliza kwa mtu yoyote muasisi wa hili ni nani? mbowe mungu akupe nguvu akulinde akujaze ujasiri. nipo nyuma yako saa na wakati wowote
ni kweli, pia ametumia rasilimali nyingi sana za familia yake kujenga chama..