Freeman Mbowe: Nguzo na mhimili muhimu kwa ustawi wa CHADEMA

Inaonekana ulikuwa umelala ukakurupuka toka usingizini ndo ukaandika hii thread.nna mashaka na uwezo wa kifikra....hebu jaribu mda mwingine kabla hujapost thread isome mara mbili ht tatu af jikosoe..niko tayari unikosoe km ntakuudhi ktk koment yng hii.
Mbona unaongea mengi kiongoz??? au na wewe unaplan za kugombea???mbona kama umepandwa na jazba ghafla na kujaa upepo bila sababu ya msingi???huu ni mtazamo wake tu, haimaanishi kuwa ndo utaratibu utakaotumiwa na chama kumpata mwenyekiti wa taifa. Ni mtazamo wake tu, relax, huna haja ya kujaa upepo wala kutokwa na povu, hii mada hujawekewa wewe peke yako, acha walioielewa hii mada wachangie, usisahau kuwa wachangiaji ni wengi. Kazi njema kiongozi.
 
kwa akili yangu ndogo! naona umefika wakati sasa tuwe na tabia ya kuwa na capacity building kwenye institutions zetu. tusiwe na mawazo kuwa asipokuwepo mtu fulani hakiwezekani. vijana wapo wenye uwezo wa kutosha, let the institutions give them support. kwa nini wenzetu waweze sie tushindwe
 
Back
Top Bottom