Freeman Mbowe: Mwasisi wa harakati za vijana

kigugumizi

Member
Sep 10, 2009
11
4
FREEMAN MBOWE MWASISI WA HARAKATI ZA VIJANA.

Akiwa amezaliwa kwenye Familia ya Kitajiri, tarehe 9 Disemba 1961, alipewa jina la Freeman "Mtu Huru". Baba yake alikuwa mfadhili mkubwa wa harakati za Uhuru, akiwa na Sykes, Rupia na wengine wengi.

Akiwa ni kijana mdogo kabisa, alijiunga na CHADEMA kama mwasisi kijana akiwa ni Mwenyekiti wa kwanza wa Vijana wa CHADEMA. Licha ya utajiri mkubwa, hakuweza kujilisha kwa anasa kitambo za CCM, wala kuendeleza Ufisadi wa CCM alijiunga katika harakati za wapenda haki (Mageuzi).

Baada ya kulelewa vyema kisiasa na Edwin Mtei, na Bob Makani na wengine, alipendekezwa kugombea Uenyekiti wa CHADEMA 2004, ambapo alishindwa.

Mwaka 2005 akitumia ubunifu wa hali ya juu kwa kampeni za kisayansi, na gharama nafuu, CHADEMA ilionekana Chama mbadala chenye haiba nzuri kwa vijana wote wa Tanzania.

Akiwa na Imani kubwa kwa Vijana, alianza harakati za kuwalea vijana, akiwemo Zitto Kabwe, John Mnyika, Mwakagenda, John Mrema, na wengine huku akiwaandaa kuja kushika Chama na Nyadhifa za Kiungozi Serikali.

Leo vuguvugu lote la Vijana, ni matokeo ya Freeman Mbowe. Ukimwona Zitto anaongea elewa kuwa amelelewa na kufundishwa siasa na Freeman Mbowe.

Mbowe siyo mchu wa madaraka kama Lipumba na Mrema, tayari amedeclare rasmi kugombea Ubunge Jimbo la Hai mwaka 2010 akitaka kuwapisha wengine wagombee.

Mbowe angetaka kuwa Fisadi angejiunga CCM toka zamani sana! Angekuwa msaliti angejiunga CCM toka akiwa mdogo! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!!

Ni Charismatic leader!! Mwenye mvuto mkubwa sana! Asiyechoka kusikilizwa pindi aongeapo!! Uongozi wake makini wenye dira ndipo ilipoifikisha CHADEMA kuwa Chama mbadala na tumaini Jipya la watanzania!

Alipokuwa Mbunge wa Hai 2000 - 2005 aliwahi kusema kuwa Bunge la Tanzania ni Rubber stamp ya Serikali, akalazimika kuacha kuingia Bungeni kwa muda kitambo kwa kuchoshwa na kura za ndiyo Mzee za Wabunge wengi wa CCM.

Ana siasa za zaidi ya Vyama!! Wakati baadhi vyombo vya habari vya Mafisadi vikimtuhumu kumuua Chacha Wangwe, Mbunge wa Tarime! Ndiye Kiongozi wa Kwanza kuweka historia ya mapokezi ya Kifalme katika Wilaya ya Tarime!! Ni Rais wa Tarime! Alimshinda Kikwete Tarime kwenye Kura za Urais!!
 
FREEMAN MBOWE MWASISI WA HARAKATI ZA VIJANA.

Akiwa amezaliwa kwenye Familia ya Kitajiri, tarehe 9 Disemba 1961, alipewa jina la Freeman "Mtu Huru". Baba yake alikuwa mfadhili mkubwa wa harakati za Uhuru, akiwa na Sykes, Rupia na wengine wengi.

Akiwa ni kijana mdogo kabisa, alijiunga na CHADEMA kama mwasisi kijana akiwa ni Mwenyekiti wa kwanza wa Vijana wa CHADEMA. Licha ya utajiri mkubwa, hakuweza kujilisha kwa anasa kitambo za CCM, wala kuendeleza Ufisadi wa CCM alijiunga katika harakati za wapenda haki (Mageuzi).

Baada ya kulelewa vyema kisiasa na Edwin Mtei, na Bob Makani na wengine, alipendekezwa kugombea Uenyekiti wa CHADEMA 2004, ambapo alishindwa.

Mwaka 2005 akitumia ubunifu wa hali ya juu kwa kampeni za kisayansi, na gharama nafuu, CHADEMA ilionekana Chama mbadala chenye haiba nzuri kwa vijana wote wa Tanzania.

Akiwa na Imani kubwa kwa Vijana, alianza harakati za kuwalea vijana, akiwemo Zitto Kabwe, John Mnyika, Mwakagenda, John Mrema, na wengine huku akiwaandaa kuja kushika Chama na Nyadhifa za Kiungozi Serikali.

Leo vuguvugu lote la Vijana, ni matokeo ya Freeman Mbowe. Ukimwona Zitto anaongea elewa kuwa amelelewa na kufundishwa siasa na Freeman Mbowe.

Mbowe siyo mchu wa madaraka kama Lipumba na Mrema, tayari amedeclare rasmi kugombea Ubunge Jimbo la Hai mwaka 2010 akitaka kuwapisha wengine wagombee.

Mbowe angetaka kuwa Fisadi angejiunga CCM toka zamani sana! Angekuwa msaliti angejiunga CCM toka akiwa mdogo! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!!

Ni Charismatic leader!! Mwenye mvuto mkubwa sana! Asiyechoka kusikilizwa pindi aongeapo!! Uongozi wake makini wenye dira ndipo ilipoifikisha CHADEMA kuwa Chama mbadala na tumaini Jipya la watanzania!

Alipokuwa Mbunge wa Hai 2000 - 2005 aliwahi kusema kuwa Bunge la Tanzania ni Rubber stamp ya Serikali, akalazimika kuacha kuingia Bungeni kwa muda kitambo kwa kuchoshwa na kura za ndiyo Mzee za Wabunge wengi wa CCM.

Ana siasa za zaidi ya Vyama!! Wakati baadhi vyombo vya habari vya Mafisadi vikimtuhumu kumuua Chacha Wangwe, Mbunge wa Tarime! Ndiye Kiongozi wa Kwanza kuweka historia ya mapokezi ya Kifalme katika Wilaya ya Tarime!! Ni Rais wa Tarime! Alimshinda Kikwete Tarime kwenye Kura za Urais!!

Mbona yote hayo tunayajua na mengine zaidi?. Sasa hii ni mada ya kujadiliwa au ni Information only?
 
FREEMAN MBOWE MWASISI WA HARAKATI ZA VIJANA.

Akiwa amezaliwa kwenye Familia ya Kitajiri, tarehe 9 Disemba 1961, alipewa jina la Freeman "Mtu Huru". Baba yake alikuwa mfadhili mkubwa wa harakati za Uhuru, akiwa na Sykes, Rupia na wengine wengi.

Akiwa ni kijana mdogo kabisa, alijiunga na CHADEMA kama mwasisi kijana akiwa ni Mwenyekiti wa kwanza wa Vijana wa CHADEMA. Licha ya utajiri mkubwa, hakuweza kujilisha kwa anasa kitambo za CCM, wala kuendeleza Ufisadi wa CCM alijiunga katika harakati za wapenda haki (Mageuzi).

Baada ya kulelewa vyema kisiasa na Edwin Mtei, na Bob Makani na wengine, alipendekezwa kugombea Uenyekiti wa CHADEMA 2004, ambapo alishindwa.

Mwaka 2005 akitumia ubunifu wa hali ya juu kwa kampeni za kisayansi, na gharama nafuu, CHADEMA ilionekana Chama mbadala chenye haiba nzuri kwa vijana wote wa Tanzania.

Akiwa na Imani kubwa kwa Vijana, alianza harakati za kuwalea vijana, akiwemo Zitto Kabwe, John Mnyika, Mwakagenda, John Mrema, na wengine huku akiwaandaa kuja kushika Chama na Nyadhifa za Kiungozi Serikali.

Leo vuguvugu lote la Vijana, ni matokeo ya Freeman Mbowe. Ukimwona Zitto anaongea elewa kuwa amelelewa na kufundishwa siasa na Freeman Mbowe.

Mbowe siyo mchu wa madaraka kama Lipumba na Mrema, tayari amedeclare rasmi kugombea Ubunge Jimbo la Hai mwaka 2010 akitaka kuwapisha wengine wagombee.

Mbowe angetaka kuwa Fisadi angejiunga CCM toka zamani sana! Angekuwa msaliti angejiunga CCM toka akiwa mdogo! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!!

Ni Charismatic leader!! Mwenye mvuto mkubwa sana! Asiyechoka kusikilizwa pindi aongeapo!! Uongozi wake makini wenye dira ndipo ilipoifikisha CHADEMA kuwa Chama mbadala na tumaini Jipya la watanzania!

Alipokuwa Mbunge wa Hai 2000 - 2005 aliwahi kusema kuwa Bunge la Tanzania ni Rubber stamp ya Serikali, akalazimika kuacha kuingia Bungeni kwa muda kitambo kwa kuchoshwa na kura za ndiyo Mzee za Wabunge wengi wa CCM.

Ana siasa za zaidi ya Vyama!! Wakati baadhi vyombo vya habari vya Mafisadi vikimtuhumu kumuua Chacha Wangwe, Mbunge wa Tarime! Ndiye Kiongozi wa Kwanza kuweka historia ya mapokezi ya Kifalme katika Wilaya ya Tarime!! Ni Rais wa Tarime! Alimshinda Kikwete Tarime kwenye Kura za Urais!!

Mijitu mingine bana inakera kweli,mbowe hana hata sifa moja ya hizo ulizozitaja endelea kuwadanganya wanajamvi maana najuwa mko wengi sana jamvini.

Kuhusu kugombea jimbo la Hai hiyo nayo ni sifa au amebaini Urais maji yako shingoni.Mbona hata Mzee wa Kiraracha naye keshatangaza atawania ubunge.

Tuambie shule ya Mbowe imeishia wapi nasikia alikuwa anachukua Degree mbili kwa wakati mmoja ?.

Mbowe hana historia ya maana katika siasa za Tanzania sana sana kuzusha Chopper angani.
 
FREEMAN MBOWE MWASISI WA HARAKATI ZA VIJANA.

Akiwa amezaliwa kwenye Familia ya Kitajiri, tarehe 9 Disemba 1961, alipewa jina la Freeman "Mtu Huru". Baba yake alikuwa mfadhili mkubwa wa harakati za Uhuru, akiwa na Sykes, Rupia na wengine wengi.

Akiwa ni kijana mdogo kabisa, alijiunga na CHADEMA kama mwasisi kijana akiwa ni Mwenyekiti wa kwanza wa Vijana wa CHADEMA. Licha ya utajiri mkubwa, hakuweza kujilisha kwa anasa kitambo za CCM, wala kuendeleza Ufisadi wa CCM alijiunga katika harakati za wapenda haki (Mageuzi).

Baada ya kulelewa vyema kisiasa na Edwin Mtei, na Bob Makani na wengine, alipendekezwa kugombea Uenyekiti wa CHADEMA 2004, ambapo alishindwa.

Mwaka 2005 akitumia ubunifu wa hali ya juu kwa kampeni za kisayansi, na gharama nafuu, CHADEMA ilionekana Chama mbadala chenye haiba nzuri kwa vijana wote wa Tanzania.

Akiwa na Imani kubwa kwa Vijana, alianza harakati za kuwalea vijana, akiwemo Zitto Kabwe, John Mnyika, Mwakagenda, John Mrema, na wengine huku akiwaandaa kuja kushika Chama na Nyadhifa za Kiungozi Serikali.

Leo vuguvugu lote la Vijana, ni matokeo ya Freeman Mbowe. Ukimwona Zitto anaongea elewa kuwa amelelewa na kufundishwa siasa na Freeman Mbowe.

Mbowe siyo mchu wa madaraka kama Lipumba na Mrema, tayari amedeclare rasmi kugombea Ubunge Jimbo la Hai mwaka 2010 akitaka kuwapisha wengine wagombee.

Mbowe angetaka kuwa Fisadi angejiunga CCM toka zamani sana! Angekuwa msaliti angejiunga CCM toka akiwa mdogo! Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni!!

Ni Charismatic leader!! Mwenye mvuto mkubwa sana! Asiyechoka kusikilizwa pindi aongeapo!! Uongozi wake makini wenye dira ndipo ilipoifikisha CHADEMA kuwa Chama mbadala na tumaini Jipya la watanzania!

Alipokuwa Mbunge wa Hai 2000 - 2005 aliwahi kusema kuwa Bunge la Tanzania ni Rubber stamp ya Serikali, akalazimika kuacha kuingia Bungeni kwa muda kitambo kwa kuchoshwa na kura za ndiyo Mzee za Wabunge wengi wa CCM.

Ana siasa za zaidi ya Vyama!! Wakati baadhi vyombo vya habari vya Mafisadi vikimtuhumu kumuua Chacha Wangwe, Mbunge wa Tarime! Ndiye Kiongozi wa Kwanza kuweka historia ya mapokezi ya Kifalme katika Wilaya ya Tarime!! Ni Rais wa Tarime! Alimshinda Kikwete Tarime kwenye Kura za Urais!!


I cant wait kuona wangapi watatoa "THANKS" kwa hii post
 
Kigugumizi unaamini upinzani as whole, au wapinzani individuals? unaamini chadema kama chama au mmoja mmoja katika chadema? maana kama unaamini individual unawabeba baadhi ya wapinzani , huku ukiwaponda wengine, ndani ya chama kimoja, then we may have big problem here!

Kigugumizi, kuhusu wangwe una hakika?
 
Inawezekana tukapeana taarifa na kuelimishana kwa pamoja kuhusu ujenzi wa chedema hiyo ni dhahiri labda tuambiwe kuhusu kumalizia hiyozo degree
 
I cant wait kuona wangapi watatoa "THANKS" kwa hii post

Mkuu bado una-wait kuona wangapi watatoa "THANKS" kwa hiyo post? Leo ni miaka kadhaa kadhaa THANKS kwahiyo post = 0. The bottom line is you may have to wait for a lifetime because the post was full of "pumba"!
:biggrin:
 
Mijitu mingine bana inakera kweli,mbowe hana hata sifa moja ya hizo ulizozitaja endelea kuwadanganya wanajamvi maana najuwa mko wengi sana jamvini.

Kuhusu kugombea jimbo la Hai hiyo nayo ni sifa au amebaini Urais maji yako shingoni.Mbona hata Mzee wa Kiraracha naye keshatangaza atawania ubunge.

Tuambie shule ya Mbowe imeishia wapi nasikia alikuwa anachukua Degree mbili kwa wakati mmoja ?.

Mbowe hana historia ya maana katika siasa za Tanzania sana sana kuzusha Chopper angani.

mbona huna jipya zaidi ya povu tuu! unadhani elimu ndiyo busara??? hao wasomi wako magamba wamelifanyia nini taifa zaidi ya wizi wa raslimali zetu kupitia mikataba ya kimangungo????? kapuya ana nn zaidi ya ubakaji?? maccm yote hata yake masomi,akili zipo maka.lioni!
 
Mbowe hana upeo wa kuona mbali, ndio huyu huyu amechangia asilimia kubwa kuimaliza CHADEMA.
 
Mbowe hana upeo wa kuona mbali, ndio huyu huyu amechangia asilimia kubwa kuimaliza CHADEMA.

wewe mburula chadema itakutoa kibyongo safari hii , wewe wa kumfahamu TAJIRI MBOWE ? ANAPOKUWEPO , FUKARA KAMA WEWE HURUHUSIWI KUWAPO , UMEMJULIA WAPI , UNAPIGA FIKSI KWA MANUFAA YA NANI ?
 
Mkuu sina uhakika kama mbowe amemlea zito nazan zito alianza kujulikana kabla ya mbowe na ndo aliyewapa passion vijana weng wa.tz kupenda siasa
 
Mkuu sina uhakika kama mbowe amemlea zito nazan zito alianza kujulikana kabla ya mbowe na ndo aliyewapa passion vijana weng wa.tz kupenda siasa

Wewe ni zuzu toka humu kwenye siasa unafanya nini na uzuzu uliyonao.
 
Mijitu mingine bana inakera kweli,mbowe hana hata sifa moja ya hizo ulizozitaja endelea kuwadanganya wanajamvi maana najuwa mko wengi sana jamvini.

Kuhusu kugombea jimbo la Hai hiyo nayo ni sifa au amebaini Urais maji yako shingoni.Mbona hata Mzee wa Kiraracha naye keshatangaza atawania ubunge.

Tuambie shule ya Mbowe imeishia wapi nasikia alikuwa anachukua Degree mbili kwa wakati mmoja ?.

Mbowe hana historia ya maana katika siasa za Tanzania sana sana kuzusha Chopper angani.

Baba yako ndio mwenye historia ya maana Tanzania.
 
Back
Top Bottom