Freeman Mbowe enzi hizo

Chenge

JF-Expert Member
Oct 5, 2011
1,073
377
154256_470787302966308_450988753_n.jpg

Pichani ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Bwana Freeman Aikaeli Mbowe (wa Pili kutoka Kushoto) akiwa Pamoja na Mwanamuziki Nguli kutoka Zaire (Sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo) Bwana Koffi Antoine Olomide (wa Tatu kutoka Kushoto waliokaa).

Bwana Freeman Aikaeli Mbowe na wenzie waliopo kwenye Picha ndio waliofanikisha Ziara ya Kwanza ya Mwanamuziki huyo Mashuhuri wa Afrika Nchini katika Miaka ya 90 Mwanzoni, Wa Kwanza kulia waliokaa ni Bwana Ronie Mtawali ambaye alikuwa Meneja wa Kwanza wa Club Billicanas.
 
mm namjua akiwa mdogo zaid ya haapo yaani wakati mama yake ( Aishi ) akiwa hai
 
154256_470787302966308_450988753_n.jpg

Pichani ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Bwana Freeman Aikaeli Mbowe (wa Pili kutoka Kushoto) akiwa Pamoja na Mwanamuziki Nguli kutoka Zaire (Sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo) Bwana Koffi Antoine Olomide (wa Tatu kutoka Kushoto waliokaa).

Bwana Freeman Aikaeli Mbowe na wenzie waliopo kwenye Picha ndio waliofanikisha Ziara ya Kwanza ya Mwanamuziki huyo Mashuhuri wa Afrika Nchini katika Miaka ya 90 Mwanzoni, Wa Kwanza kulia waliokaa ni Bwana Ronie Mtawali ambaye alikuwa Meneja wa Kwanza wa Club Billicanas.

JF bwana kuna mambo!! Kumbe ndiko alikotoka Mwenyekiti na KUB?
 
Safi sana haya ndiyo maisha. Huwa nawaachukia sana wanasiasa "watakatifu" ambao wao historia zao zinaonyesha usafi tu. Mbowe kwa kuwa na Club Katikati ya mji kunamfanya kuwa mwana darisalama kuliko wengi wanavyomnadi kama ni "mchagga" wakati jamaa migombani anakujua kwa kwenda tu!!
 
Maafisa usalama wa Taifa walipokwenda kwa Mzee Aikaeli kumwambia kwamba Mwalimu Nyerere amekubali ananunue Jeneza la kumzikia Aishi toka London, mzee Aikaeli alifurahi sana na kuwashangaza wale Maafisa Usalama wa Taifa. Kwa Mzee Aikaeli vinywaji vilikuwa havitolewi na Glasi. Kama unataka Martins basi jua utapewa chupa yako mpya kabisa umalize au ubakize kazi kwako. Na ikibakia unabeba kwani vinywaji vyote vilikuwa vinanywewa kwenye chupa!!

Unajua Mzee Aikaeli alimsaidia sana Mwalimu dhidi ya Chifu Mareale?
 
Sfi sana sio wale wenzangu na mimi baba mwenyekiti wa chama mama sijui naniliu halafu na yeye huko huko....
watu wa hivi ndio wanaojua machungu ya maisha ya kitanzania.......BIG UP sana kamanda MBOWE..........
 
154256_470787302966308_450988753_n.jpg

Pichani ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Bwana Freeman Aikaeli Mbowe (wa Pili kutoka Kushoto) akiwa Pamoja na Mwanamuziki Nguli kutoka Zaire (Sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo) Bwana Koffi Antoine Olomide (wa Tatu kutoka Kushoto waliokaa).

Bwana Freeman Aikaeli Mbowe na wenzie waliopo kwenye Picha ndio waliofanikisha Ziara ya Kwanza ya Mwanamuziki huyo Mashuhuri wa Afrika Nchini katika Miaka ya 90 Mwanzoni, Wa Kwanza kulia waliokaa ni Bwana Ronie Mtawali ambaye alikuwa Meneja wa Kwanza wa Club Billicanas.
papa wemba mbona simuoni?
 
Mh.Mbowe katoka mbali,na kwa kweli jana yake imemjenga sana na kumfanya kuwa mwanasiasa mzuri wa kisasa.
 
Keep it up Kamanda Mbowe. Ukomavu uliuanza zamani si leo, na hela hukuijua leo kwani hata baba yako alikuwa na hela!!!! Ni kati ya watanzania wachapakazi maana hadi uwe tajiri kipindi cha marehemu baba wa Taifa si mchezo!!! Go go Mboweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
 
Maafisa usalama wa Taifa walipokwenda kwa Mzee Aikaeli kumwambia kwamba Mwalimu Nyerere amekubali ananunue Jeneza la kumzikia Aishi toka London, mzee Aikaeli alifurahi sana na kuwashangaza wale Maafisa Usalama wa Taifa. Kwa Mzee Aikaeli vinywaji vilikuwa havitolewi na Glasi. Kama unataka Martins basi jua utapewa chupa yako mpya kabisa umalize au ubakize kazi kwako


Kwenye Red- LAVISH LIFE: Maisha ya watu wasiomjua/abudu MUNGU. ingependeza ukaeleza wanachangia sana Kanisani au kutoa/kusaidia wenye shida au jamii lakini sio huu ulafi na utapakanishaji.
 
Kwenye Red- LAVISH LIFE: Maisha ya watu wasiomjua/abudu MUNGU. ingependeza ukaeleza wanachangia sana Kanisani au kutoa/kusaidia wenye shida au jamii lakini sio huu ulafi na utapakanishaji.
That will be promo.., and it ain't a story worth telling (most people donate) but dishing out JD's, Johhnie Mtembezi's and Martins in bottles like dishing out some soft drinks or Maji ya Uhai !!! ..., that's a story worth telling we can say that is kula Bata the expensive way...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom