EMMANUEL NSAMBI
JF-Expert Member
- Oct 25, 2011
- 402
- 83
Sheria ni zipi?Police kuua raia bila makosa ndio kufuata sheria?Afadhali hiyo amani isiwepo kuliko ilivyo sasa.Hawata tawala milele, ila kiongozi mzuri ni yule anayefuata sheria ili kuhakikisha jamii yake inakuwa salama.