Ndg,heshima mbele.Hakuna mtu anayechochea vurugu,ndiyo maana siku zote watu tunakusanyika kwa maaelfu bila madhara yyte,mpaka waje police na kuanza vurugu.Usipende kuchochea vurugu, siku zote ghasia/vurugu hazina macho. Zinaweza kukudhuru ww na jamaa zako wa karibu unaowapenda badala ya hao unaotaka wadhurike. Tafakari kabla ya kutenda.
Nakwambia tutaanza na wewe mjinga mkubwa unaicheka njaa, hata Nyerere wakoloni walimuweka ndani!!!!!!!!! Unafurahia uonezi kwa watu wanao tetea haki, Mjinga mkubwa!!!!!!!!!!
TANGANYIKA tuna sababu za kuingia msituni ambazo ni zaidi ya za WALIBYA.
Tunasubiri mda ufike na ndo unakaribia.
Wampeleke fasta mahabusu Kisongo aungane na wahalifu wenzake kina Lema.
Akipewa dhamana atasababisha uvunjifu wa amani. Uhuni waliofanya NMC unatosha.
Anacheza na nguvu za dola?... Imekula kwake sasa.
Ukombozi TZ unanukia
Wakuu.., nimesikia muda mfupi uliopita kuwa Kamanda wa anga.,Mh Freeman Mbowe amefikishwa mahakamani.Mlioko A town mtujuze.
Source: Super Mix East Africa Radio(Michael Barut na Zembwelai)
Yes hivyo ndivyo wanaume wanaojiamini wanaongea ulitaka abane pua!Nimemsikia Mbowe akiongea kwa kiburi sana TBC. "oohh...mimi Mbowe nimwogope nani?,...ooh wanamjua Mbwe au wanamsikia? oooh bla bla bla..."
Kamanda Zuberi, yafaa kumpunguza huyu mpuuzi hadi kwenye saizi ambayo ni stahiki kwake! (better reduce him to his true size).
Ajaribu kukataa dhamana aone.
Wampeleke fasta mahabusu Kisongo aungane na wahalifu wenzake kina Lema.
Akipewa dhamana atasababisha uvunjifu wa amani. Uhuni waliofanya NMC unatosha.
Anacheza na nguvu za dola?... Imekula kwake sasa.
Ccm inapenda mabwege kama nyinyi eti sheria! Sheria inachagua!akifanya huyu kwa sababu ni ccm sawa akifanya yule kitu kile kile sheria imevunjwa bullshit!Wanakuwa na kiburi na kukataa kutii sheria zilizowekwa , hv tukiwapa madaraka itakuwa vp? ... Tunajuwa matatizo yaliyopo nchini mwetu badala ya kukaapamoja mezani kwa Heshima waliyonayo na imani waliyopata kwa wananchi wao wanafanya mambo ya kihuni kbs,, haya nawafanye lakini cku amani itakapotoweka hata wao tutawahukumu pia wasijifanye wanatutetea ili hali wanashinikiza tugawanyike.. wao wanatengeneza image ya chama chao cc wengine tunaumia hatufanyi kazi tena kuandamana kila cku hayo maendeleo tutayapata vp?
utapunguzwa weweNimemsikia Mbowe akiongea kwa kiburi sana TBC. "oohh...mimi Mbowe nimwogope nani?,...ooh wanamjua Mbwe au wanamsikia? oooh bla bla bla..."
Kamanda Zuberi, yafaa kumpunguza huyu mpuuzi hadi kwenye saizi ambayo ni stahiki kwake! (better reduce him to his true size).