asiposhabikia atakula wapi? na mumewe kamkimbia? ha ha hawewe una matatizo makubwa sana jenga hoja acha kushabikia au umeachika maana inaelekea unawashwa!!
Karibu na ukweliwewe una matatizo makubwa sana jenga hoja acha kushabikia au umeachika maana inaelekea unawashwa!!
Wampeleke fasta mahabusu Kisongo aungane na wahalifu wenzake kina Lema.
Akipewa dhamana atasababisha uvunjifu wa amani. Uhuni waliofanya NMC unatosha.
Anacheza na nguvu za dola?... Imekula kwake sasa.
Usipende kuchochea vurugu, siku zote ghasia/vurugu hazina macho. Zinaweza kukudhuru ww na jamaa zako wa karibu unaowapenda badala ya hao unaotaka wadhurike. Tafakari kabla ya kutenda.Hii ni delaying tactic ya serikali ya CCM.Wameona njia ya kunyong'onyesha vugu vugu la sasa za Arusha na nchi zima kwa ujumla ni kuwasumbua/ghasi continuously viongozi wakuu wa CHADEMA ili siku ziendelee kusonga,tarehe 14 ifike,watu waendelee kujitoa taratibu katika mada ya msingi etc.
Kwa kuwa tumeshazama kwenye hili suala kwa kiwango ambacho tuendako ni karibu kuliko tutokako;hili suala limeshavuka elastic limit, ni bora sasa tukalimaliza kwa njia yyte regardless of the so called kibali!.The matter is already taking us alot of energy,tuliopo nje tuji-organize na kulikabili hili once and for all!.
Wewe Kishongo ni sawa nakina Bhotha wa SA hawakuamini mpaka Mandela kwa shinikizo la kimataifa walitolewa jela na kuwa Raisi Black wa kwanza mpambanaji wa SA!Wampeleke fasta mahabusu Kisongo aungane na wahalifu wenzake kina Lema.
Akipewa dhamana atasababisha uvunjifu wa amani. Uhuni waliofanya NMC unatosha.
Anacheza na nguvu za dola?... Imekula kwake sasa.
Kishongo CDM watakutoa macho yako eeeeeh.Wewe achana na Peoples power....Nimemsikia Mbowe akiongea kwa kiburi sana TBC. "oohh...mimi Mbowe nimwogope nani?,...ooh wanamjua Mbwe au wanamsikia? oooh bla bla bla..."
Kamanda Zuberi, yafaa kumpunguza huyu mpuuzi hadi kwenye saizi ambayo ni stahiki kwake! (better reduce him to his true size).
Nakwambia tutaanza na wewe mjinga mkubwa unaicheka njaa, hata Nyerere wakoloni walimuweka ndani!!!!!!!!! Unafurahia uonezi kwa watu wanao tetea haki, Mjinga mkubwa!Nimemsikia Mbowe akiongea kwa kiburi sana TBC. "oohh...mimi Mbowe nimwogope nani?,...ooh wanamjua Mbwe au wanamsikia? oooh bla bla bla..."
Kamanda Zuberi, yafaa kumpunguza huyu mpuuzi hadi kwenye saizi ambayo ni stahiki kwake! (better reduce him to his true size).
Wanakuwa na kiburi na kukataa kutii sheria zilizowekwa , hv tukiwapa madaraka itakuwa vp? ... Tunajuwa matatizo yaliyopo nchini mwetu badala ya kukaapamoja mezani kwa Heshima waliyonayo na imani waliyopata kwa wananchi wao wanafanya mambo ya kihuni kbs,, haya nawafanye lakini cku amani itakapotoweka hata wao tutawahukumu pia wasijifanye wanatutetea ili hali wanashinikiza tugawanyike.. wao wanatengeneza image ya chama chao cc wengine tunaumia hatufanyi kazi tena kuandamana kila cku hayo maendeleo tutayapata vp?
Nakwambia tutaanza na wewe mjinga mkubwa unaicheka njaa, hata Nyerere wakoloni walimuweka ndani!!!!!!!!! Unafurahia uonezi kwa watu wanao tetea haki, Mjinga mkubwa!!!!!!!!!!
Mbowe anaongea kwa kiburi umempatia kamanda Zuberi na JK anavyoongea kwa kuchekacheka akabidhiwe nani sasa?Nimemsikia Mbowe akiongea kwa kiburi sana TBC. "oohh...mimi Mbowe nimwogope nani?,...ooh wanamjua Mbwe au wanamsikia? oooh bla bla bla..."
Kamanda Zuberi, yafaa kumpunguza huyu mpuuzi hadi kwenye saizi ambayo ni stahiki kwake! (better reduce him to his true size).