sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
picha yenye watu wengi kuliko zote ina watu 23,ndio unasema haijawahi kutokea???
kawadanganye wasiojiuliza ie akina YES BOSS
Comments za Ribosome hizi..
picha yenye watu wengi kuliko zote ina watu 23,ndio unasema haijawahi kutokea???
kawadanganye wasiojiuliza ie akina YES BOSS
Sasa ngoja nikupe fact wana diaspora sio lazima tupige kura ila tunachofanya ni kukisaidia chama tunatoa magari, pikipiki Na hata helcopter yote hii kwa ajili ya kujenga chama kuanzia ngazi ya chini, ccm 2015 hamtoki, lazima chadema ichukue nchi mtake msitake habari ndiyo, wana wa diaspora houston tawi la chadema tutatoa pikipiki 126
picha yenye watu wengi kuliko zote ina watu 23,ndio unasema haijawahi kutokea???
kawadanganye wasiojiuliza ie akina YES BOSS
nimeipenda hiyo kwani itawachanganya ccm na nape akiona pikipiki hizo 126 atazusha kuwa zimetolewa na wafadhili wa kizungu!
Mkuu mbona umewapendelea sana hapo kwenye red. Mimi ninamwona Mh. Mbowe na Mh. Sugu tu. Hivyo wapo wawili tu na sio 23. Hivi hii picha ya Kinana na Maubwabwa wapo wangapi vile???
bila kupunguza dharau na kuhoji kuwa uwekezaji utafanywa je utabaki kwenye hicho kibox ulimojifungia! umeshakuwa na kasumba kuwa wawekezaji lazima wawe wazungu au wahindi! wapo watu majuu wana biashara na mitaji ya kutisha lakini kutokana na miundo mbinu mibovu, ukosefu wa umeme na rushwa kwenye taasisi nyuingi za fedha wanashindwa kuwekeza Tanzania! wewe baki na kutengeneza supu ya makongoro ukidhani kila mtu anafanya hiyo!!Ha ha ha ha daaaaah kweli wajinga ni chakula cha wasomi...................eti kuwekeza nchini Haha haha ha haaha haaaaa........
Nyie ambao wengi wenu huko life ni kuunga unga ndo mje muwekeze huku.......give the poor Tanzanians a break please....mliamua kukaa huko na myamalize huko huko wenyewe kwa wenyewe......uwekezaji unahitajika kweli ila you are not of the capacity banaa
Tanzania bado kuna watu wengi hawana ufahamu wowote katika kujua haki zao za kidemokrasia wanaitaji kupewa elimu ya uraia, wafuateni hao kwanza sio kukimbilia Ulaya na Marekani kufungua matawi tatizo la Watanzania sio matawi.
Wengi wajiunga Chadema, Mkusanyiko ulikuwa ni mkubwa sana kwa historia ya mwana siasa yeyote aliyewahi kutokea Houston TX . Mbowe awabadili Wana CCM na kuwa Chadema. Mbowe afanya Houston kuwa base ya CHADEMA na wanachadema watoa Pikipiki 126
Hivi siku hizi mambo yote ni kwa diaspora? Hivi ni kweli wanaenda kufungua matawi au wanasukumwa na posho na kutembea ughaibuni? Mipango ya diaspora kupiga kura ikoje ifikapo 2015 manake isiwe kufungua tu matawi lakini mwisho wa siku hao wanachama wanakuwa hawana maamuzi siku ya kupiga kura!
mbona hajsema lolote kuhusu unemployment rate ya TZ? na yeye bado ataiacha nchi yetu ikae katika umoja wa non alignment au atajitoa. Unajua liumoja hili limejaa nchi za kiarabu, hivyo ni anti west and anti zionist. mwambieni ajitoe huko, maana sasa hakuna vita baridi kwa nini TZ bado ipo huko?Mungu aendelee kuwalinda hadi wa maono yenu wana wa ukombozi wa nchi hii.