Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,495
- 2,251
Watu wanapenda idea ya kupata discount hata kama hiyo discount sio ya ukweli.
Kwa mfano ukiuza kiatu cha 100,000/= chenye discount ya 30% utauza vingi kuliko ukiviuza kwa 70,000/= bila discount.
Bei anayolipa mteja ni ile ile, ila idea ya kuwa anapata discount ya 30% inawasukuma watu wengi zaidi kununua.
Kwa mfano ukiuza kiatu cha 100,000/= chenye discount ya 30% utauza vingi kuliko ukiviuza kwa 70,000/= bila discount.
Bei anayolipa mteja ni ile ile, ila idea ya kuwa anapata discount ya 30% inawasukuma watu wengi zaidi kununua.