Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeshut down na kurestat upya lakini wapi
usishindwe bana,utajitengenezea kingine kigumu zaidi,i wish nichukulie hivo nashindwa kabisa
ukitaka kutoa kitu kichwani kwako kabisa kabisa unafanyeje
nimefikiria au nidrink?
Kwanza lazima ukikubali kwamba kimetokea kwenye maisha yako,then kichukilie kama tatizo la kawaida na linaweza kumtokea mtu yeyote,and jiamini kwamba bado unanafasi ya kufanya viziri katika maisha yako.
Ukiwa na mtazamo huu,hatachukua mda kukisahau.
asante.nimependa ushauri wako best
ukitaka kutoa kitu kichwani kwako kabisa kabisa unafanyeje
nimefikiria au nidrink?
Tafuta ZOMBIIII Likupunguze hasiraaaa! LOL!
aah sijui hata
unaenda bafuni unapiga keleleleeeeeeeeeeeeeeeeeee af unaoga kuanzia kichwani!ukitoka hapo poa
unaposema zombi una maanisha mtu wa aina gani?
ukitaka kutoa kitu kichwani kwako kabisa kabisa unafanyeje
nimefikiria au nidrink?[/QUOTE
Funga siku tatu, katika hizo siku fanya vitu tofauti na vile unavyofanya siku zote. Utasahau.
Yes kaka, lazima niwe peke yangu ili nisionekane chizi, nakumbuka one day my Girlfriend alinikuta halafu hakushangaa, naye akajiunga tukawa machizi kwa muda. lol.Nimeipenda hii aisee, ila hakikisha hakuoni mtu manake wanaweza kudhani umeshachizika
ukitaka kutoa kitu kichwani kwako kabisa kabisa unafanyeje
nimefikiria au nidrink?