Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 455
Mkalii huyu hapa sasa
Mkuu Paje TG ilikuwa ina ROCK enzi zile umeanza ku advertise na ni kweli hata ukiangalia screen shots za thread yako
Lkn siku hizi kidogo haiko Gooder kam enzi nzile
ndio maana ukaambiwa ukijua kuendesha hilo gari , hujui kuendesha speed , utalaumu gari au udereva wako.....??
nakupa screenshot ya faster faster angalia kwenye duara nyekundu zote mbili.... na wewe ukileta hiyo ya premium , weka zote mbili, dashboard na idm wakati ikidownload file......