Wakuu habari! kuna Notebook Compaq nimeiona mahali nikaipenda nataka inunua tatizo imeandika Operating system yake ni FREE DOS. Naomba kujua hii ni nini hasa na je kama nikiinunua naweza instal OP nyingine kama XP au Window 7?? je kutakuwa na shida yoyote katika ufanisi wa hii pc? Ahsanteni.