Maverick
JF-Expert Member
- May 29, 2008
- 308
- 11
Niliinunua Marekani. Iko un-locked. Hapa Bongo naweza kuweka sim card yoyote na hizo networks zinaonyesha kwenye display.Hiyo BB yako ilikuwa maalum kwa matumizi ya marekani tu? yaani nazungumzia CDMA technology? je network ya Tanzania unayoitumia inadisplay hapo kwenye screen? majibu ya maswali haya kutoka kwako ndio nitakupa solution ili uwenjoy bb messenger.