Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Nimekupara uzuri..... haya tusaidiane kwa hili... Nina bb yangu iko unlocked na haina IT POLICY yoyote, kila nikiweka line ya mtandao wowote inakubali, shida ni kwamba siwezi kupokea simu wala kupiga. Nikimaanisha imeblockiwa kwenye server. Je unaweza kuitengeneza mtaalamu wa simu Drphone?kumbuka hii sio mara ya kwanza alianza calvin power code huawei modem na tulisaidia watu humu na akukuwa na malumbano hope ktk hili pia kutakuwa na ushirikiano na kukuhakikishia hili utaona watu wakituma hapa watajibiwa na wataalamu wengine pamoja na ww sina free software ya kukalukulate code natumia box ila as soon nikipata nitatoa ila kwa sasa tunakwenda kwa mwendo huu hapa