Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
Tupeni source basi tafadhali...Il hizo habari zitakuwa sio za kweli kwani strategically atakuwa wrong..Akeinda sasa maana yake na Ubunge anauvua..I dont think so kama anaweza kufanya hivyo kwa sasa..
Take it. Hivi tunavyoandika hapa ndio naambiwa amemaliza press conference akimaliza kueleza hayo maamuzi yake.