Oloronyo
Member
- Mar 29, 2009
- 80
- 9
Hayawi hayawi sasa yametimia baada ya kiongozi wa mauzo Fred Liundi mzalendo pekee aliyebakia na aliyetazamwa na wazalendo wengi kama tumaini la waliobakia kubwaga manyanga katika kampuni ya simu za mkononi HiTS kwa sasa wafanyakazi wa kampuni hiyo ambao hawajapata mshahara wa mwezi wa sita kubaki hawana la kufanya.