Franco Luambo Makiadi

ikitu ya BAKULUTU sio lazima uwe mtu wa zamani,ili mradi itokee umezipende hizi nyimbo,bila shaka hata waimbaji utawajua..mbona mimi wa juzi 80 na kitu tuu PHD!!
 
Sadly anothe one passed away recently......RIP Pape Ndombe Opetum

in 1975

Ndombe-1975.jpg


Recently

34415359.jpg
 
Nyie Wazee hebu nendeni mkacheze na wajukuu zenu! uwanja wa vijana huu!

hii siyo fb kwenye watoto wenzio. Ukifuatilia vizuri mambo yanayoongelewa humu utawapa shikamoo watu usiowajua. Jaribu ufungue uzi wa walosoma azania ndo utajua humu kuna bibi na babu zako.
 
ikitu ya BAKULUTU sio lazima uwe mtu wa zamani,ili mradi itokee umezipende hizi nyimbo,bila shaka hata waimbaji utawajua..mbona mimi wa juzi 80 na kitu tuu PHD!!

unakumbuka wimbo wa ATENSION NA SIDA? aliuimba akionya watu kuhusu AIDS miaka miwili kabla ya kifo chake ambacho inasemekana ilikuwa hiyo SIDA aliyoiimba.
 
Wakuu nilikuwa sijajua kwamba kuna uzi wa FRANCO, ngoja na mie nitoe mchango:

- Je, kuna mtu ametaja kuhusu MALAGE DE LUGENDO, aliyeimba wimbo TESTAMENT YA BOWULE?
-Je, mnakumbuka wimbo uliotungwa na MAYAULA uitwao BONDOWE?
- Vipi kuhusu, SEDOU wimbo wa 1987?

TP OK JAZZ ilikuwa bendi ya ukweli.
 
Wakuu nilikuwa sijajua kwamba kuna uzi wa FRANCO, ngoja na mie nitoe mchango:

- Je, kuna mtu ametaja kuhusu MALAGE DE LUGENDO, aliyeimba wimbo TESTAMENT YA BOWULE?
-Je, mnakumbuka wimbo uliotungwa na MAYAULA uitwao BONDOWE?
- Vipi kuhusu, SEDOU wimbo wa 1987?

TP OK JAZZ ilikuwa bendi ya ukweli.

Malage
(Testament Ya Bowule (Lutumba Simaro) - Franco & le T.P. O.K. Jazz 1986 - YouTube) bado yuko hai akiwa na kundi la ODEMBA OK BAND pamoja na Mandjeku (solo).....huyu alikuja 1986 kumweka sawa Carlito Lassa ambye alikuwa star wa wakati huo(Carlito - Kitiwala - YouTube) na ambye alijenga kiburi cha kuchelewa kusudi kufika stejini.
 
Carlito Lassa namkumbuka pia kwenye wimbo Maya pia kuna wimbo aliimba na Madilu. Ni kweli dogo alikuwa bishoo sana.
 
voyage ya bandundu wimbo mzuri wa Pata Ndombe. Mnakumbuka MPOYI, kwenye wimbo wa Kadima uliotungwa na Simaro?

Huyo bwana alikuwa na uwezo mkubwa wa kuimba nyimbo za majonzi au akiwa analalamika..jamaa alikuwa sawa sana, nawe amekufa.

Vipi kuhusu Aime Kiwakana?
 
Vipi unakumbuka gitaa la Papa Noel? Kuhusu Josky Kiambukuta, nasikia uwezo wa Madilu kushirikiana vizuri na Franco kwenye nyimbo nyingi kama vile Mamou, ulimfanya Josky 'akimbie' kwa muda. Alirudi mwishoni mwishoni mwa uhai wa Franco nafikiri kuanzia 1987.

Pia kuna mtu ambaye hatajwi sana ingawa alikuwa na uwezo mkubwa aliitwa NTESA, alikuwa na sauti nyembamba nyororo, miaka ya mwanzoni mwa 1980 alikuwa mmoja wa waimbaji wa kutegemewa wa TP OK JAZZ.
Kuna wimbo mwingine mzuri uliimbwa na Franco na Madilu kwa pamoja uliitwa, NON..jamani huo wimbo ni wa kiwango cha juu sana.
 
Shoo ya mwisho ya Franco ilifanyika nchini UHOLANZI, mwezi wa 9, mwaka 1989. wiki chache kabla hajafa, wimbo wake maaarufu ambao mkubwa FRANCO alizoea kupiga kwenye kila shoo, LIKAMBO YA NGAI NA PAPA, uliotungwa na JOSKY. FRANCO aliupenda wimbo huu kwa sababu ulimruhusu apige gitaa kwa muda mrefu.

hata hivyo kwenye shoo hiyo ya mwisho hakuweza kumaliza wimbo huo, jamaa alipiga akiwa ameketi kwenye kiti. ilikuwa ni huzuni tupu.
 
Top ten yangu ya nyimbo za Franco TP OK JAZZ:
1. Sadou 2. Matata ya Mwasi Esilaka te. 3. Liberte, 4. Non, 5. Mamou, 6. Testament ya Bowule. 8. Tangawusi. 9. Kadima. 10. Bondowe. TP OK JAZZ.
 
Mwaka 2002 nikiwa form iv Dj jackob Msungu alianzisha kipindi cha salama za millenia radio free afrika,
tangu hapo upenzi wangu karibia asilimia 90 ukatoka kwenye bongofleva na kuhamia kwney bakulutu,
yaan napenda sana bakulutu kuliko shabiki yyte wa mpira anavyopenda soka,
pamoja mkuu bakulutu.
 
voyage ya bandundu wimbo mzuri wa Pata Ndombe. Mnakumbuka MPOYI, kwenye wimbo wa Kadima uliotungwa na Simaro?

Huyo bwana alikuwa na uwezo mkubwa wa kuimba nyimbo za majonzi au akiwa analalamika..jamaa alikuwa sawa sana, nawe amekufa.

Vipi kuhusu Aime Kiwakana?

Aime Kiwakana naye ni marehemu alikufa 1992 nadhani. Picha hii aliye hai ni JOSKY na LUKOKI DIATHO . Wengine (R-
L) Lola Checain; Aime Kiwakana;Josky;Ndombe;Lukoki Diatho


1991-07-09_Lola-Aime-Josky-Ndombe-Diatho.jpg
 
Asante mkuu SAFARI NI SAFARI kuhusu LUKOKI DIATHO, nimewahi kuona shoo moja ya TP OK JAZZ kwenye Youtube ambapo DIATHO, alikuwa miongoni mwa walioimba. Hiyo shoo ni ya mwaka 1979 ni video ya TELE ZAIRE. Jamaa alikuwa mfupi kuliko wote nafikiri.
 
When Simaro was interviewed in 1991:

I will tell you a little about the person who was Mobutu. He was a fanatic for Franco, above everything. He was a fanatic for our team, even before he was president. I found Mobutu at Franco's side when I came in 1961. At all the parties that happened at Mobutu's home, when they hired a band, it was we who played. Baptisms of children, birthdays, all that. Mobutu was a fanatic for Franco as an artist.


It was Mobutu who chose, frankly. When Mobutu rose to power, it was 1965. In '66, we were in Brazza, making a little tour, and Mobutu asked Franco and his band to come back to Kinshasa to play. So we stopped and went back directly with Franco to Ndolo. Ndolo was a small prison in town that was reserved for the military. After a day or two, we went to Franco. The president had told him to stay at his side. "With me in power, you will go far. I will have need of you." So that's how it started. In any case, as I said, as far as the relationship between President Mobutu and Franco, from the start, Mobutu was a fanatic for Franco. And with time, as he became president, he was president of all the artists, not just Franco. Those who were lucky enough to play for President Mobutu received his small gifts that the president gave them. It was not only Franco.


So, when President Mobutu had need of a little publicity, or even propaganda, he would call Franco secretly. But he gave opportunities to many artists. It was Mobutu who decided. He had a whole community. "We'll do it like this. He will speak and tell people to listen. Simaro will make a song. Another will make a song. We'll record them and I'll listen and decide which is the best song." That's how it worked.


When Franco was very sick, near the end, Mobutu did something for him. Even when he was dead, the band found him in Europe, and President Mobutu paid all the bills, the hotels and everything. He asked all the artists to return. He sent a special plane that brought the body"
 
Asante kwa taarifa nzuri mkuu wangu CAMARADERIE. Mimi ni mshabiki mkubwa wa TP OK JAZZ.
 
Back
Top Bottom