Franco Luambo Makiadi

Kwa hio ilikua ni uongo kwamba walikua na biffu kwa ajili ya Mwanamke? Hicho kipindi cha "La Aunthenticite" is one of the things ambacho naona Mobutu alifanya la msingi thou alienda a bit extreme with the names, walikua lao moja na Leopold Senghor wa Senegal katika falsafa ya preserving African ethnically authentic....

Ni kwel AshaD alikuw kw upande fulan right,bt kuliwa kuna siasa ndani yake kwan alitaka kila congolise musician amsifie ktk nyimbo zake kama jamaa alivyo sema hap chin na YABISO CANDIDA na KINSHASA MBOKA YA MAKAMBO.
Umenikumbusha habari ya Leopoldo na ubabe wa wafaransa akaja nae Mugabe na ubabe wa waingereza japo anaangali uchumi zaid tofaut na hawa jamaa na utamaduni.
 
Meaning??....
:focus: hakuna kama Francoo wala sioni dalili za kupata mwingine....

Na hata kaa hatokee kabisaaa..nafikiri alikuwa nabii wa Rhumba,kama walivyo wa kwenye misahafu.
 
Mkuu wewe umeniona nini nna headset hapa nasikilita Tangawusi. Huyu jamaa mungu alimtunuku hasa, nikisikiliza nyimbo zake nakumbuka miaka ya mwanzo ya themanini nikiwa mdogo kaka zangu walikuwa wakizisikiliza sana hizi nyimbo na mzee wangu! na hata quality ya nyimbo zake ni za hali ya juu sana zilirekodiwa kwenye mitambo ya kisasa sana tena mnoo! hebu sikiliza Tokabola sentiment aliyoimba Josky kiambukuta!
Nakumbuka mwaka 1984 nikiwa songea tulikuwa na kanda yake, moja ya wimbo uliokuwepo ni mbanda ako ti kikumbi, saa yale matamshi ukisikiliza ni km anaimba matakoni kivumbi, basi si nikajirekodi kweli hiyo chorus eti matakoni kivumbi eeeeh mwanamama hahaha sister angu alikuwa anacheka hana mbavu.
Wimbo wa Mario part 1 unanikumbusha sana bustani ya nyanya aliyolima kaka yangu mwaka 1984-85. nilikuwa nikirudi toka shule wakati huo nipo std 4 basi nakuta bro kauweka, nikiingia ndani tu mdingi anaamka ananiambia badirisha yuniform nenda kamwagie nyanya, wakati huo mie sina mpango kabsaa wa kwenda bustanini, natorokea kiwanjani kupiga chandimu, nikirudi tuu saa moja moja ni bakora kwa kwenda mbele!

Hebu sikiliza Matata ya mwasi basi kwa leo halafu uniambie Franco amekukuna vipi

akh mkuu mambo yote Madilu,franco mi nasikia kama anaongea tu
 
Sio SADA..ni SIDA..wimbo unaitwa ATTENTION NA SIDA..amboya ina nyimbo kama KINSHASA MBOKA YA MAKAMBO,LIKAMBO YA NGANGA,MARIO,Q'U EST LE SERIEUX.

thenksi kwa kuniweka sawa mkuu.
huo wa Kinshasa Mboka ya Makambo?
I know the song very well...
Nilishawahi kuona mahali Live Performance ya L'e TP Ochestra, hadi jukwaa lilikuwa limepigwa logo yao, na performer alikuwa Vercky Longomba, ambaye anaimba na kucheza.
 
thenksi kwa kuniweka sawa mkuu.
huo wa Kinshasa Mboka ya Makambo?
I know the song very well...
Nilishawahi kuona mahali Live Performance ya L'e TP Ochestra, hadi jukwaa lilikuwa limepigwa logo yao, na performer alikuwa Vercky Longomba, ambaye anaimba na kucheza.

Kweli kabisa..logo yao ukiangali hapo ukumbin utafikiri wamechora na chaki,V.LONGOMBA NDIO WAANZILISH WA OK JAZZ..
Pamoja kaka.
 
hizi nyimbo za franco huwa nazipenda sana..nikiwa nasafiri safari ndefu...tangu mwanzo wa safari hadi mwisho ni kusikiliza nyimbo hizi na nnjia nakuwa makini kwlei halafu sichoki..nashangaa nimefika .....mama yangu ndo chachu ya kuzipenda nyimbo hizi ..anajua kuziimba mwanzo mwisho na anaimudu vizuri lugha ...
 
hizi nyimbo za franco huwa nazipenda sana..nikiwa nasafiri safari ndefu...tangu mwanzo wa safari hadi mwisho ni kusikiliza nyimbo hizi na nnjia nakuwa makini kwlei halafu sichoki..nashangaa nimefika .....mama yangu ndo chachu ya kuzipenda nyimbo hizi ..anajua kuziimba mwanzo mwisho na anaimudu vizuri lugha ...

Kwel kabisa kak,hata mimi nilizipenda kutokana na mama yangu,yeye mama yake(nyanya angu) ni mcongoman,japo mama hajui li congo coz alikulia kenya,anazipatia sana..kitu kama Lunda magie,ekaka kaba,tres impol,bomba pema,mamuu,bina ngai na respect ...we mama anazima kama alitunga nao..alianza tuu na mnunulia maziwa fresh kwan anapenda sana chai,ataniimbia weeee hata kula sili na msikiliza tuu.
 
On Friday, September 22nd, 1989, Franco gave his final performance in De Melkweg (The Milky Way) in Amsterdam. As soon as he had entered the building, which was well before the audience was allowed in, it was clear that he was much sicker and weaker than the previous time he had performed there ( B.S.K. (Franco) - Franco & le T.P. O.K. Jazz 19-1-1989, Amsterdam - YouTube ) and our hopes of his recovery were smashed to smithereens.

Later that evening, the concert had been going on for what seemed like ages, an hour, maybe an hour and a half, before Franco even entered the stage.

Master of ceremonies: Saxophone player Isaac Musekiwa (who had been with Franco since 1957 and would die only three months or so after Franco), can be seen in the first two pictures on the far left.

Franco had to be helped walking across the stage. Then, he was helped onto a chair on the stage.

The song to be performed was Chacun Pour Soi, composed by Josky Kiambukuta (who was not present).

As soon as he started touching the strings of his guitar, the hairs in my neck stood right up. He was too sick to play, really.

During the first part of the song and during his vocal solo, Franco was still on his chair. Then, when he started what was supposed to become his guitar solo, he tried to stand up, between 6:26 and 6:41 into the clip. Two band members had to hold him up, keep him from collapsing. In the interview he refers to this, he had felt obliged to stand up, but he just couldn't do it anymore.

After this, he was escorted off the stage, leaving the orchestra and the audience in total disorientation. I can hardly imagine there was a dry eye in the house by then.

A short interview was done by Boune Zouboye, right after this, which can be heard at the end of the clip.

A little while later, "manager" Manzenza (on the left in the picture here:Fuala Nbombu Ngulu Kadia (Fuala) - Franco & L'O.K. Jazz 1963 - YouTube ) escorted Franco out of the building, to the Mercedez waiting there, to be driven back to Belgium. At this time, the orchestra was still on the stage.

20 Days after this gig, on Thursday, October 12th, 1989, L'Okanga Lwa Ndjo Pene Luambo Makiadi died, aged 51, in a hospital in Namur, Belgium.

Ton Verhees was the one who had the strength to take these historic pictures. However, Ton took more pictures before the actual (very short performance), than during it. So some of the pictures you see after the song, were actually taken before it, including the one during the interview.

The recording was made by WorldSrv
( WorldSrv's Channel - YouTube )

worldservice: Twenty years ago

...





 
Mkuu Bakulutu,

Nikufanyie masahihisho kidogo. Wimbo wa Mamuu umeimbwa na wanaume wote. Anayeongoza kwa kuimba ni Madilu System na mwisho anaingia Franco kuwa anapiga simu kwa mpenzi wake huko Majuu. Simu inapokelewa na Mwanamke ila ni yule jamaa Mpiga Bass ambaye anajifanya ana sauti ya KIKE.

AshaD, ni kweli Luambo walikosana wakati fulani na Mobutu ila walikuja wakapatana na Franco hadi akawa Waziri wa Muziki na utamaduni sijui? Pana wakati Mobutu akafanya uchaguzi eti wa Rais na Franco akamtungia wimbo kabisa wa kumpigia kampeni. Siku moja akiimba huko Ubelgiji kama sikosei, wakamtandika risasi ya mguu na Mobutu akapeleka dege kubwa la abiria kumbeba mtu mmoja tu, Franco.
Sijui kama kweli hiyo story ya risasi maana na mie nilikuwa mdogo sana kipindi hicho.

Bakalutu, ukianzia dakika ya 6:50, utamuona huyo jamaa anayejiita Mamou.


Wimbo wa Luambo akimsifu Moboutou ni huu hapa AshaDii. Huu wimbo ukiacha maneno, ni mzuri sana.



NYONGEZA Bakulutu: 2.Verky longomba,awilo sister's (Verky Longomba ni baba yake Awilo na Lovy Longomba. Kwa vijana, Lovy Longomba alikuwa maarufu sana before Awilo na aliishi Tanzania na Kenya kwa kipindi kirefu. Kenya aliacha watoto ambao sasa wanajiita LONGOMBAS.)

AshaD,Franco alikuwa rafiki mkubwa sana wa Mobutu japo walizinguana kipind kile cha 'LA Aunthenticite',,ambapo alitaka kila mwenye majina yenye asili ya kifara abidilshe haraka,ilipelekea wanamzikwengi wa congo kutimkia ufaransa ambo yeye franco alikubali kw shingo na akapewa jina la L'OKANGA LA NDJU PENE LUAMBO LUANZO MAKIADI.
Mamuu..ameimba na yule dada anitwa okamana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Bakulutu,

Nikufanyie masahihisho kidogo. Wimbo wa Mamuu umeimbwa na wanaume wote. Anayeongoza kwa kuimba ni Madilu System na mwisho anaingia Franco kuwa anapiga simu kwa mpenzi wake huko Majuu. Simu inapokelewa na Mwanamke ila ni yule jamaa Mpiga Bass ambaye anajifanya ana sauti ya KIKE.

AshaD, ni kweli Luambo walikosana wakati fulani na Mobutu ila walikuja wakapatana na Franco hadi akawa Waziri wa Muziki na utamaduni sijui? Pana wakati Mobutu akafanya uchaguzi eti wa Rais na Franco akamtungia wimbo kabisa wa kumpigia kampeni. Siku moja akiimba huko Ubelgiji kama sikosei, wakamtandika risasi ya mguu na Mobutu akapeleka dege kubwa la abiria kumbeba mtu mmoja tu, Franco.
Sijui kama kweli hiyo story ya risasi maana na mie nilikuwa mdogo sana kipindi hicho.

Bakalutu, ukianzia dakika ya 6:50, utamuona huyo jamaa anayejiita Mamou.


Wimbo wa Luambo akimsifu Moboutou ni huu hapa AshaDii. Huu wimbo ukiacha maneno, ni mzuri sana.




Mpiga la bass anaitwa MPUDI DECCA

image.php
 
Last edited by a moderator:
Jasusi. weke tytle basi ya wimbo tuutafute. Nina CD kadhaa za Franco ila sijui upi ni upi. Kuna wanamuziki kibao unakuja tu kusikia baadaye kuwa kumbe walikuwa kwenye kundi la TP OK Jazz.

how old are you broda ? kidding
 
Kuna wakati, Franco alileta akina dada waimbaji na walifanya vizuri sana.

Mmoja ni huyu Marehemu Jolie Detta (RIP) na huyu mwingine Yondo Nyota (RIP).

Huyu Yondo Nyota alikuwa na yeye maarufu sana kipindi hicho na ndiyo maana nduguye akatumia mgongo wa hilo jina na akaamua kujiita YONDO SISTER. Alikuja akawa maarufu sana na nafikiri hata Tanzania alitutembelea mara kadhaa.

Hapa wanaimba pamoja, Detta yupo mbele na Yondo nyuma.

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom