Mpumbavu sana huyo Mkuu wa Wilaya AJIUZULU!!!
Kwenye thread kama hizi, huwezi kumuona Nape wala Mwigulu wakichangia.
Kweli kuitetea CCM inabidi uwe na akili ya maiti
Wanaongea kama wanaharisha kwa sababu wanajua sisi watanzania ni kama wale nyumbu wa manyara. Unafikiria nchi yenye raia makini kiongozi atathubutu kufanya au kuongea unyama kama huu.... ?
Nakuruhusu kutukana kidogo, tusi lisizidi herufi 30Mods nina hasira,niruhusu nitukane!
Laah!
Hakuna wilaya ya Mahenge
kAULI HIYO SERIKALI
INAPASWA KUITOLEA UFAFANUZI WATASUBIRI UPINZANI WAKIHOJI NDIO WAANZE
KUSEMA' Ooh haikuwa kauli ya serikali' Mnamkumbuka mkuu wa wilaya ya
Bukoba alipowachapa Viboko waalimu kwa kuchelewa kufika shuleni wananchi
walipohoji ndipo alistaafishwa, utendaji wa vio9ngozi wetu wa umma ni
kutiliwa mashaka