klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
heheeh nakuwa nahubiri injili. sema amenleo ndio nakukamata ugoni....eehee.....huko PM unakuwa na nani?
heheeh nakuwa nahubiri injili. sema amenleo ndio nakukamata ugoni....eehee.....huko PM unakuwa na nani?
heheeh nakuwa nahubiri injili. sema amen
nikuletee mauwa au chips kuku ili kuuwa huu msala.ntajua habari yake hii......
:A S thumbs_up:
jana uliishia wapi?
Unaanzia forum gani?
halaf leo kuna jamaa alitaka kukuzalilisha nilimpa bonge la mkwala kupitia PM. ameomba razi tayari.niliishia kuleeeee. Angalia kushoto.
Unapofungua JF where do u start, Kuna wengine wanaanzia Jamii photo, wengine International, Wengine Siasa, Wengine, Kwa Docta kule, Wengine wanaanzia Inteligence, basi kila mmoja na upande wake, WEWE HUWA UNAAZIA WAPI?, To be honest mie huwa naaziaga Hoja na Habari Mchanganyiko!
halaf leo kuna jamaa alitaka kukuzalilisha nilimpa bonge la mkwala kupitia PM. ameomba razi tayari.