Former TIC Executive Director, Emanuel Ole Naiko

Nyerere ndio mjanja so far...wengine waendelee kujikomba kwa wathungu

Sisi wenyewe watanzania/raia ndo tunachochea hizi tabia za watu kuwa wezi, mana tunawasifia na kuwabeza waadilifu.Mzee Mangula kastaafu u-katibu mkuu kaenda kijinywea ulanzi mnamcheka, unadhani walioko kwa power wakiona hivyo watafanyaje?
 
I agree with you 100 percent. This reminds me of George Liundi who was the first Registrar of Political parties. Do you know what he did after retirement? He went and contest for ubunge in CCM.

Watu kama kina Tendwa, Werema, Mwema, Makame usishangae kukuta ni wabunge wa kuteuliwa wa CCM (au hata kupitia majimboni)
 
Sisi wenyewe watanzania/raia ndo tunachochea hizi tabia za watu kuwa wezi, mana tunawasifia na kuwabeza waadilifu.Mzee Mangula kastaafu u-katibu mkuu kaenda kijinywea ulanzi mnamcheka, unadhani walioko kwa power wakiona hivyo watafanyaje?

Ungejua ninavyomuheshimu yule mzee...hawa wengine wako kwenye kampeni za kujibinafsisha baada ya ubinafsishaji kukamilika.
 
Huyu bwana namfahamu! He is one of the hopeless chaps!

Ulikuwa ukiimuuliza mafanikio yake kama Director wa TIC, mifano yake ni kwenye sekta ya madini. Very hopeless guy. It looks he benefited and favoured them very much. Sekta hii hatufaidi chochote to be sencere! While in Botswana ni 50/50 ownership btn government and investors, in Tanzania we left everything to investors and the state enjoys less than 1% as revenues.

Hakuna cha kujivunia! No forward linkage at all! Employment in the sector is less than 4,000 people, lots of tax exemptions etc. Mkapa, Yona, Naiko and the team will pay this one day. It is total robbing!
 
hivi huku barick kutoa madawati na kutolewa na moja wa anaye tarajiwa kugombea urahisi 2015 sio kumpigia kampeni au lushwa aka rushwa
 
Tanzania kila kitu kinawezakana. Kuna wakati, spika wa bunge aliwahi kuwa board chairman wa kampuni fulani...itakuwa huyo mstaafu? Watu walivyojaribu kuuliza kulikoni wakaambiwa ati wana "wivu wa kike"!

kItu babu Msekwa.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
..watu kama Ole Naiko, Juma Mwapachu, na Ami Mpungwe, kwenye nchi za wenzetu wanaitwa LOBBYISTS.

..hapa Tanzania tunaweza kuweka sheria kwamba ukistaafu kama mbunge, au mteule wa raisi, basi unapaswa kusubiri kwa kipindi fulani kabla ya kufanya kazi kama lobbyist.
 
Wakuu,
I have totally failed to understand how can a public servant of his level end up being a Board Chairman of a private company. Is it that he was favouring them (Barick Gold) that is why they decided to thank him with Board Chairmanship?
Captain22 kila kampuni zina mikakati yake hivyo hutafuta watu maarufu kwa ajili ya "Lobbying" ili maamuzi mengi ya serikali yawe na matokeo chanya kazi biashara zao; si hapa Tanzania hata nchi zilizoendelea ndio maana huwa zinachangatia kampeni za uchaguzi kuhakikisha nchi inaongozwa na Raisi anatoka katika mtandao wao. "Lobbying" si rushwa ni mkakati tuu
 
Last edited by a moderator:
Wakuu,
I have totally failed to understand how can a public servant of his level end up being a Board Chairman of a private company. Is it that he was favouring them (Barick Gold) that is why they decided to thank him with Board Chairmanship?

Usishange coz 2016 utasikia JK ni mwenyekiti wa makampuni ya Oil na Gas yalioyowekeza Tz.
 
Nadhani asie na macho haambiwa Tazama, huyu huyu Jamaa ndio aliowaleta hawa wawekezaji, ndio aliefanikisha kupata vibali vyote vya uchimbaji na kusign mikataba yote,
Leo hii wamemwajiri na kumpa cheo ambacho nadhani hata hakikuwepo!
Ukweli ndio maana mikataba isiyo na tija na ambayo haina manufaaa kwa Watz kwamwe kwa stye hii haitaisha hapa Tz
Tafakari, chukua hatua!
 
Nadhani asie na macho haambiwa Tazama, huyu huyu Jamaa ndio aliowaleta hawa wawekezaji, ndio aliefanikisha kupata vibali vyote vya uchimbaji na kusign mikataba yote,
Leo hii wamemwajiri na kumpa cheo ambacho nadhani hata hakikuwepo!
Ukweli ndio maana mikataba isiyo na tija na ambayo haina manufaaa kwa Watz kwamwe kwa stye hii haitaisha hapa Tz
Tafakari, chukua hatua!

mdau me sikuping wala sikubali,,,,,naomba unihakikishie kama kweli naiko amehusika na hapo kwenye blue,,,,,,je angekataa barrick wasingekaaa,,,,,,,tanzania????
 
Do you mean Ole Naiko ameajiriwa Barrick baada ya kustaafu pale TIC..!!! Maana habari yako iko nusu nusu..
 
kuna ubaya gani?? its an employment oppurtunity ambayo anadhani anaiweza na jamaa anaihitaji.barrick wamefika lini nchini?? je yeye alikuwa nani wakati huo??
Vilevile kumbuka Ole naiko ni mdau mkubwa wa sector ya madini. ndiyo proffesion yake na amekuwa manager wa miradi mingi tu ya serikali ya madini ikiwemo pugu kaolin na gold reef kule Geita. Mining ndo nyumbani kwake. Hembu tutafute ukweli, hisia hisia zinatupotosha tu.
 
Duh! kweli tukiingia kwenye maajabu ya dunia na kushinda mie stashangaa. anapewa hiyo hadhi kwa lipi, kama sio upendeleo aliowapatia?

Lakini yana mwisho!!
 
Wadau inakuwaje hii nchi?
Aliyekuwa mkuu wa kitengo cha uwekezaji bw emanuel ole naiko sasa hivi ni mkurugenzi wa masuala ya kiserikali ya kampuni ya african barick gold.
Hii inaingiaje akilini ikizingatiwa kuwa huyu bwana ndiye aliyeipokea hii kamuni akiwa mkurugenzi?
Je hii kampuni inamilikiwa na nani?
Je inalipa kodi kama waliokuwa upande wa serikali sasa hivi ni wakurugenzi wake?
Wadau naombeni mnitoe hapa.
 
Back
Top Bottom