Sijajua ni kwanini hata kama Rais kajiuzulu na bado hana walinzi wa kumlinda na inawezekana kwa yeye kuwa sehemu kama ile hata baada ya kuwa bado nchi ipo katika hali ya tahadhari kubwa.
Kwangu inabaki kuwa ajabu na sioni uhakika wa picha hizi,ila ndio maisha yalivyo ukiwa nacho unaheshimika kikitoka hakuna anayekujali tena.