Mpenda kazi
Senior Member
- Dec 13, 2013
- 170
- 79
Habari wadau wa JF
Nimefungua uzi huu kwa yoyote mwenye kutaka kujua zaid kuhusu chuo hicho, location, kozi wanazotoa, taratibu za application na mambo mengine ya msingi unayotaka kujifunza kutoka chuo hiki.
ANGALIZO : Kama unataka tujadili kitu hapa basi tafadhali si vizuri kuleta maswala ya UDINI katika uzi huu. Ila cha msingi jenga hoja vizuri na utajibiwa hapa bila ya shaka. Weka wasiwasi wako juu ya chuo hiki hapa na inshallah nitakuelewesha tu na utaelewa bila ya jazba.
Nimefungua uzi huu kwa yoyote mwenye kutaka kujua zaid kuhusu chuo hicho, location, kozi wanazotoa, taratibu za application na mambo mengine ya msingi unayotaka kujifunza kutoka chuo hiki.
ANGALIZO : Kama unataka tujadili kitu hapa basi tafadhali si vizuri kuleta maswala ya UDINI katika uzi huu. Ila cha msingi jenga hoja vizuri na utajibiwa hapa bila ya shaka. Weka wasiwasi wako juu ya chuo hiki hapa na inshallah nitakuelewesha tu na utaelewa bila ya jazba.