Form One kupimwa kama wanajua Kusoma, Kuandika na Kuhesabu - (kwa hiyo Form One = Kindergarten)

kichwat

JF-Expert Member
Mar 4, 2010
1,819
587
...Elimu ya Tanzania sasa IMEKUFA RASMI.

Waziri wa Elimu amethibitisha bungeni, tena bila kigugumizi wala wasiwasi kwamba wanafunzi WALIOFAULU kuingia kidato cha kwanza watafanyiwa kijimtihani cha kuwapima kama wanajua KUSOMA, KUANDIKA na KUHESABU (KKK).

Cha ajabu zaidi ni kwamba Waziri haoneshi kwamba kuna tatizo katika process iliyosababisha ufaulu feki.

WE ARE DOOMED!
 
...Elimu ya Tanzania sasa IMEKUFA RASMI.

Waziri wa Elimu amethibitisha bungeni, tena bila kigugumizi wala wasiwasi kwamba wanafunzi WALIOFAULU kuingia kidato cha kwanza watafanyiwa kijimtihani cha kuwapima kama wanajua KUSOMA, KUANDIKA na KUHESABU (KKK).

Cha ajabu zaidi ni kwamba Waziri haoneshi kwamba kuna tatizo katika process iliyosababisha ufaulu feki.

WE ARE DOOMED!
Ungemkumbusha ni process ipi hiyo.
 
Elimu ingekufa kwa kutokuwapima ili kupata uhakikia kuwa walifaulu kihalali ...... Kwani malengo ya Mtihani wa darasa la saba ni nini? sio hizo KKK??
 
Hii nchi inapelekwa tu shokomzoba,
imebaki kuwa kama nchi ya kusadikika.
 
Back
Top Bottom