kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
...Elimu ya Tanzania sasa IMEKUFA RASMI.
Waziri wa Elimu amethibitisha bungeni, tena bila kigugumizi wala wasiwasi kwamba wanafunzi WALIOFAULU kuingia kidato cha kwanza watafanyiwa kijimtihani cha kuwapima kama wanajua KUSOMA, KUANDIKA na KUHESABU (KKK).
Cha ajabu zaidi ni kwamba Waziri haoneshi kwamba kuna tatizo katika process iliyosababisha ufaulu feki.
WE ARE DOOMED!
Waziri wa Elimu amethibitisha bungeni, tena bila kigugumizi wala wasiwasi kwamba wanafunzi WALIOFAULU kuingia kidato cha kwanza watafanyiwa kijimtihani cha kuwapima kama wanajua KUSOMA, KUANDIKA na KUHESABU (KKK).
Cha ajabu zaidi ni kwamba Waziri haoneshi kwamba kuna tatizo katika process iliyosababisha ufaulu feki.
WE ARE DOOMED!