sokolaboro
JF-Expert Member
- Dec 1, 2011
- 313
- 54
Waliofutiwa mtihani wengine walifanya vizuri kwa akili zao. Hivyo kujua aliyekuwa amepata mtihani kabla ni kuwapa mtihani mwingine ambao wataufanya ili wasipotezewe wakati wasiohusika na watakaofeli ndio waliokuwa na mtihani.