Naomba kuhusu binti yangu amepata hivi:
CIV= B
HIS=D
ENG=C
GEO=C
KISW=C
BIO=B
MATH=F
Ana div.3point 22
Je atafanikiwa kupangiwa shule? naomba msaada wa hili.
mpe hongera yake, huyo anaweza akachaguliwa 4m 5 serikalini kama mdau sizinga alivyodadavua hapo juu, ila km kuna ushindani sana anaweza kukosa post, anza kutafuta shule za private tu aende akasome HGK au HGL , vinginevyo apige pasi ndefu ya kusoma certificate kama wadau walivyoelekeza juu.Naomba kuhusu binti yangu amepata hivi:
CIV= B
HIS=D
ENG=C
GEO=C
KISW=C
BIO=B
MATH=F
Ana div.3point 22
Je atafanikiwa kupangiwa shule? naomba msaada wa hili.
niangalia mkuu hapo atapata shule tukutegemea na matokeo ya mwaka huu sasa itagemea ni shule gani yeye alijaza na COMBINATION GANI ALIJAZA YA KWANZA LAKINI NAONA KABALANCE COMB NYINGI TU MFANO HKL ANA DCC HGL DCC HGK DCCNaomba kuhusu binti yangu amepata hivi:
CIV= B
HIS=D
ENG=C
GEO=C
KISW=C
BIO=B
MATH=F
Ana div.3point 22
Je atafanikiwa kupangiwa shule? naomba msaada wa hili.
mkuu huyu root yake kama kamanda sizinga alivyotoa muongozo ni kupitia basic certificate( business studies yaani accounting,procurement supplies market au bba) kama yupo dar cbe au ifm .arusha iaa halfu akifaulu anaunganisha diploma ya kozi hiyo ..au la kama unaona anaweza kupambana arudie tena (reseat) ila hii option inahitaji mtoto mwenye moyo na ambaye anamegundua makosa either ni shule aliyosoma kwa maana ya (uhaba wa walimu na vitendea kazi , umbali ) au uwezo wake ni mdogo au alikuwa mzembe ndio vilipeleka kufeli kwake .kama amejitambua anaweza kureseat vinginevyo apitie hiyo root niliyokwambia mwanzo nadhani nimejaribu kutoa mchango wangu
amepata division ngapi? Tupe matokeo yote maana nijuavyo hata kwenye vyuo vya ufundi kuna cut off point kulingana na kozi anayotaka kusoma na chuo alichochaguamatokeo ya dogo langu ni kma ifuatavyo
p=d
c=d
m=c
katika kujaza alijaza vyûo vya ufindi kama changuo la kwanza na fv kama changuo la pili sasa ata changuliwa kweli au kachemsha msaada jamani?
amepata division ngapi? Tupe matokeo yote maana nijuavyo hata kwenye vyuo vya ufundi kuna cut off point kulingana na kozi anayotaka kusoma na chuo alichochagua
maana kuna kuna kozi kama
mechanical engineering
civil engineering
electrical engineering
electronics and telecoms eng
computer eng
sasa tungepata matokeo yake yote tungesaidiana
naomba unisaidien kwa hili DIV.4 YA 28,
GEOG.D
CIV.F.
BIOLOGY.C
MATH.F
ENG.F
HISTORY.C
KISW.F
Mkuu Sizinga, mdogo wangu amepata hivi:
Civics-C
Engl-B
Kisw-B
Bio-D
Maths-F
Geo-C
Hist-D
Ana option gani?
jamani hebu nisaidieni huyu mdogo wangu amepata div.3.22 kama ifuatavyo:civics d,bio d,chemistry c,physics d,geo d,english b,math f,kiswahili d.anaweza kuendelea na f5?eti yeye anataka pcb inawezekana kwa private schools?
Tafadhali nishauri; kijana wangu amepata Civics D,Geo D,Eng D na Math D.