foreman,na police nani bosi?

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,277
13,212
hivi hili jeshi la polisi linatupeleka wapi?kwani vituo vidogo vingi vya polisi vinawatumia mgambo(foremen) ktk kusaidia kwenye ukamataji,cha ajabu kuna kituo kimoja huku kuna mgambo kama wanne ni mwaka wa kumi sasa wapo hapo,hivyo wamekuwa kama mapolisi,na hata kupeleka mahabusu ktk vituo vikubwa.tatizo lao ni.haki za binadam ni msamiati kwao,halafu wamegeuza kituo hiki kama duka la mangi!kwani ukikamatwa dhamana ni pesa,na wameorodhesha viwango vya pesa kulingana na ukubwa wa kosa lenyewe!na wanadai wao wakubwa wa police wanawatambua kuwepo kwao,ila wanapataje kipato cha kuendesha familia zao,hawajui!ina maana wamebariki hiyo hali.na ukienda pale kama kuna ndugu yako amekamatwa,ukimuona mkuu wa kituo anakwambia hadi umuone mgambo akikubali bac tatizo lako limekwisha,ila akikataa basi mtuhumiwa wako hapewi dhamana!tusipoangalia polisi ndio watakao leta matatizo ktk nchi hii,hao wanaotaka kuchoma vituo vya polisi sio wajinga.ni dhuruma imezidi kwani wamegeuka kuwa wanasiasa!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom