Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Acheni ku spin. Wabongo tu ma LAZY sana, tulizoea kufanya kazi kijamaa zaidi. Unaingia ofisini saa 3 asubuhi saa 4 unaenda kunywa supu saa 7 chakula saa 9 umeondoka job.
sasa wazungu wakibana mnaanza zenu? kama una tabia kama hiyo mzungu akikuita we black ni lazy sana atakuwa kakubagua?
Mbona Kenya hawalalamiki na wamo kibao hapa TZ, ni kwa kuwa wapo competent.
Watu wangu weusi, nyanyukeni pigeni mzigo mheshmike, msibakie kila siku kulalamika utafikiri mablack wa kimarekani!
Mwenye kuchukia ameze vyupa!
Huajaambiwa Watanzania wanachelewa kazini ama mahala popote na wala hujaambiwa Watanzania wanawahi kuondoka kwenda makwao umeambiwa huyu jama anawaita MANYANI WEUSI. Do not change the topic, otherwise anzisha thread nyingine.