barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,322
- 29,583
Kwani si mlisema ni feki?? Jasho la nini??
Mkuu,nimedharau sana hizi tuzo pamoja na waandaji wao.Ni ovyo kabisa!Hawa ni wakurupukaji tu.Salary slip angalia hii website
(Contributors: Sid Wahi - CNBC Africa)
Kuna hawa watu CMA Investment Holdings kumbe ndio wenye CBN Africa yote, Forbes Afrika (ambayo ni franchise ya Forbes), hiyo ABN group etc... na inavyoelekea wote hao wako kwenye jengo/adress moja (88 stella street, sandton, ZA). Kwa maana hiyo hizi awards/tuzo ni zao.
Kuna huyu kijana Sid, yeye ndie managing director wa CMA Holdings (ni biashara ya familia). Ananikumbusha watu wetu flani hivi wa huku, very business driven...
Well, mwaka jana mshindi wao wa hizi tuzo alikuwa Mtanzania ambaye ni M Dewji, CEO wa MTL group... alafu (kama ni kweli), mwaka huu tena mshindi atokee Tanzania, aisee, wanatupenda sana.
Kwa jinsi CMA Holdings wanavyotupenda labda tutawaona soon wakija ku-investment na hapa kwetu, au labda pengine wapo tayari...
Anyway, Ingekuwa vizuri kama wakina Sid wangetueleza wametumia criteria gani, vipi waliongea na watu huku mitaani kwetu au labda walifanya research kwa references za bot na world bank...
Alafu najiuliza hawa people of Rwanda kwani wako wangapi... Yani people wote hao of Rwanda wameshindwa kujipigia kura ili meter yao nayo ipande kwa kasi?
Hapo ndo utaelewa kuwa 1+1=11 in economicsMaajabu katika hii dunia hayaishi.