Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Counterpunch inaonekana una inside info za kutosha (relatively) kutetea kwamba hii barua ni ya Salva kweli.
With leading intellectuals like these, no wonder the country is in a ditch. Sasa muandishi wa habari mashuhuri hajui tofauti ya l na r? Na hakuna mtu anayem call out? Hafanyi speech therapy? Hana speech coaches? Au ndiye yeye anayetakiwa kuwa speech coach (after all ni msemaji of sort wa rais!)
Huyu ufisadi anaanza kuifisadi lugha ambayo haihitaji effort kubwa kutoifisadi, sasa huko kwenye fedha na principles sijui kama ana discipline. If this is an actual Salva letter anaweza kuwa na tatizo la ufahamu kubwa kuliko tunavyofikiri.
Na mtu mwenye ufahamu mdogo ni hatari sana, kwa maana hana hata ufahamu wa ku acknowledge some deep principles.
With leading intellectuals like these, no wonder the country is in a ditch. Sasa muandishi wa habari mashuhuri hajui tofauti ya l na r? Na hakuna mtu anayem call out? Hafanyi speech therapy? Hana speech coaches? Au ndiye yeye anayetakiwa kuwa speech coach (after all ni msemaji of sort wa rais!)
Huyu ufisadi anaanza kuifisadi lugha ambayo haihitaji effort kubwa kutoifisadi, sasa huko kwenye fedha na principles sijui kama ana discipline. If this is an actual Salva letter anaweza kuwa na tatizo la ufahamu kubwa kuliko tunavyofikiri.
Na mtu mwenye ufahamu mdogo ni hatari sana, kwa maana hana hata ufahamu wa ku acknowledge some deep principles.