For VALENTINES...?? Help!

Nyamgluu

JF-Expert Member
Mar 10, 2006
3,160
1,718
Wajemeni unajua ni rahisi kua playa kuliko kua na mke. Maana nakumbuka huko zamani kuwaridhisha madem wakupita ilikua rahisi sana. Sasa na staajubu inavyokua vigumu kwa wife. Nawaza nimpe nini au kumfanyia nini VALENTINES day afurahi!

Kwangu haya masherehe sio ishu na wala sipendi, ila naona mwenzangu ni tofauti ikipita hivi hivi ntanuniwa hadi nione mboga chungu. (Maana nakumbuka siku moja usiku niliulizwa kwanini sijawahi kumletea maua, wakati bustani nje imejaa tele! I was geniunely perplexed)

Anyways tupeane ideas kweli mtakua mmenisaidia sio mimi tu bali na wengine, so far nina zifuatazo:-

1. Nimpikie dinner, lakini nyumba yetu haina romantic setting. Kwaio am not sure.:hungry:
2. Nimtoe out restaurant. Idea hii haina special touch, yani nahisi mtu ambae si mbunifu ndio atachagua hii.:dance:
3. Bye her an "expensive" dress. Itabidi nimuulize mambo ya size hivyo atajua. Halafu sijui maduka, halafu how much is expensive!
4. Nijipakae chocolate na vanilla mwilli mzima halafu anilambe, but will that be a present to her or me?
:decision:
 
No.1 Kama sio kawaida yako kumpikia hata mkilia sakafuni jikoni bado atafurahi.
Alafu romantic setting kwani inajileta yenyewe jamani???Weka mishumaa mezani....red roses kidogo...panga sahani
zako mbili glass na uma kwa ustadi kidogo...kachupa ka wine and voila!!

No.2 Labda restaurant ya hapo hapo karibu haitaleta special feeling ila unaweza kumtoa nje ya mji kidogo...sehemu uliyotulia.Kwa
Dar Bagamoyo kunafaa sana..Kigamboni au hata Zenji kama unaweza kwenda!Kama uko Atown kuna sehemu inaitwa Duluti
sijaenda siku nyingi ila ni patulivu sana....kuna ka ziwa mnaweza kuendesha mashua....sijui kupiga kasia!!!

No.3 Mhhhh jamani yani hujui size ya mkeo???Nwyz unaweza kumtumia mtu wake wa karibu kufind out!!Kuhusu ghali or not
inategemea na kipato chako!!

No.4 Unaweza kumnunulia madini kidogo kama uwezo unaruhusu na yeye anapenda..hereni....mkufu..bangili n.k

No.5 Unaweza kumpatia spa treatment.....massage.... kusafishwa na kupendezeshwa!

No.6 Unaweza kuunganisha namba 2 na 3....unamnunulia nguo ambayo utataka avae huko utakapompeleka!!

Too bad inadondokea jumatatu....ningekushauri umpeleke sehemu for the weekend!!!
 
No.1 Kama sio kawaida yako kumpikia hata mkilia sakafuni jikoni bado atafurahi.
Alafu romantic setting kwani inajileta yenyewe jamani???Weka mishumaa mezani....red roses kidogo...panga sahani
zako mbili glass na uma kwa ustadi kidogo...kachupa ka wine and voila!!

No.2 Labda restaurant ya hapo hapo karibu haitaleta special feeling ila unaweza kumtoa nje ya mji kidogo...sehemu uliyotulia.Kwa
Dar Bagamoyo kunafaa sana..Kigamboni au hata Zenji kama unaweza kwenda!Kama uko Atown kuna sehemu inaitwa Duluti
sijaenda siku nyingi ila ni patulivu sana....kuna ka ziwa mnaweza kuendesha mashua....sijui kupiga kasia!!!

No.3 Mhhhh jamani yani hujui size ya mkeo???Nwyz unaweza kumtumia mtu wake wa karibu kufind out!!Kuhusu ghali or not
inategemea na kipato chako!!

No.4 Unaweza kumnunulia madini kidogo kama uwezo unaruhusu na yeye anapenda..hereni....mkufu..bangili n.k

No.5 Unaweza kumpatia spa treatment.....massage.... kusafishwa na kupendezeshwa!

No.6 Unaweza kuunganisha namba 2 na 3....unamnunulia nguo ambayo utataka avae huko utakapompeleka!!

Too bad inadondokea jumatatu....ningekushauri umpeleke sehemu for the weekend!!!

Big Up Lizzy,umemshauri vyema.....usisahau kumwambia unampenda na ana thamani kubwa sana kwako......wanawake si wote tunataka makuu,just a kind thought that shows you care and she means the world to you.....goodluck!!!
 
Thank you ma ladies. Adivice zimetulia sana. Nafikiri nitafanya hio namba 1. Nikicheki bajeti nafkiri ndio ntakayoweza, ila mambo yaki kubali katikati ya wiki then ntaenda na number 2,friday/saturday halafu nimalizie number 1 sunday!
 
Wajemeni unajua ni rahisi kua playa kuliko kua na mke. Maana nakumbuka huko zamani kuwaridhisha madem wakupita ilikua rahisi sana. Sasa na staajubu inavyokua vigumu kwa wife. Nawaza nimpe nini au kumfanyia nini VALENTINES day afurahi!

Kwangu haya masherehe sio ishu na wala sipendi, ila naona mwenzangu ni tofauti ikipita hivi hivi ntanuniwa hadi nione mboga chungu. (Maana nakumbuka siku moja usiku niliulizwa kwanini sijawahi kumletea maua, wakati bustani nje imejaa tele! I was geniunely perplexed)

Anyways tupeane ideas kweli mtakua mmenisaidia sio mimi tu bali na wengine, so far nina zifuatazo:-

1. Nimpikie dinner, lakini nyumba yetu haina romantic setting. Kwaio am not sure.:hungry:
2. Nimtoe out restaurant. Idea hii haina special touch, yani nahisi mtu ambae si mbunifu ndio atachagua hii.:dance:
3. Bye her an "expensive" dress. Itabidi nimuulize mambo ya size hivyo atajua. Halafu sijui maduka, halafu how much is expensive!
4. Nijipakae chocolate na vanilla mwilli mzima halafu anilambe, but will that be a present to her or me?
:decision:

Ungekuwa unaishi nae hata kumwandikia barua romantic nzuri(usiweke maneno ya uongo tu) na kumuwekea mahali unapojua ataiona kirahisi asubuhi hiyo ingekuwa imetosha..angeitunza na kuisoma kila mara!

Valentine inaangukia J3, unaweza ukamwagizia maua apelekewe special delivery atakapokuwa kama kazini/ home ila wewe usiwe nae ili mkikutana jioni akupe thanx na hugs..maeneo ya namanga kuna flower shops na wana delivery serv.

Mnunulie necklace&earrings ila ujue anapendelea nini kati ya silver, gold au hata tanzanite..

Mwisho mnaweza kukutana kwa simple dinner mahali(siyo penye makelele mpaka mkiongea kama mnafokeana) na hapo ukapata muda wa kumweleza unavyompenda na jinsi gani una furaha ya kuwa nae hadi siku hiyo..
 
Big Up Lizzy,umemshauri vyema.....usisahau kumwambia unampenda na ana thamani kubwa sana kwako......wanawake si wote tunataka makuu,just a kind thought that shows you care and she means the world to you.....goodluck!!!

Hahahhaahah....bibie embu rekebisha hapo mwisho kwanza......good liki inaleta maana nyingine!!
 
Ungekuwa unaishi nae hata kumwandikia barua romantic nzuri(usiweke maneno ya uongo tu) na kumuwekea mahali unapojua ataiona kirahisi asubuhi hiyo ingekuwa imetosha..angeitunza na kuisoma kila mara!

Valentine inaangukia J3, unaweza ukamwagizia maua apelekewe special delivery atakapokuwa kama kazini/ home ila wewe usiwe nae ili mkikutana jioni akupe thanx na hugs..maeneo ya namanga kuna flower shops na wana delivery serv.

Mnunulie necklace&earrings ila ujue anapendelea nini kati ya silver, gold au hata tanzanite..

Mwisho mnaweza kukutana kwa simple dinner mahali(siyo penye makelele mpaka mkiongea kama mnafokeana) na hapo ukapata muda wa kumweleza unavyompenda na jinsi gani una furaha ya kuwa nae hadi siku hiyo..

BJ,nimependa idea ya letter,ntaiandika hio. Last paragraph is funny, kwaio valentine dinner akudo sio! LOL.
 
I hate valentines day sijui kwa nini. Fata ushauri wa lizzy
 
Gaga kwanini? Kila kitu kinasababu. Mimi sifagilii visherehe sherehe na special occasions (I'm a shy guy :wink2: ) lakini kwasbabu mwenzangu anapenda na hainipunguzii chochote kumfanyia na fanya.Wewe kwanini hupendi V day?
 
wengi wameshasema,shairi zuri la mapenzi,ni zawadi nzuri,mnunulie na kufuli nzuri kabisa,ikibidi umechishe na sidiria yake,nina uhakika atapenda.na akiwa kazini mtafute mtu yoyote ili ampelekee kitu chochote kile,kama mmoja alivyosema maua,au ikibidi shairi jengine lenye maneno mazuri tu,ata smile siku nzima ofisini.Atajihisi na yeye ni mmoja wapo ambae anapendwa na mume wake
 
fuata steps zifuatazo

1. chukua karatasi
2. juu kabisa andika jina kamili la mke wako, yaani majina yote matatu na ukiweza pia andika jina la mwisho la mama yake kabla hajaolewa, na pia jina lake la utani.....yaani kama wife wako anaitwa Paulina...basi andika Paulina James Mwambeki Kitikikavu Binti Machozi (jina la utani)
3. Katafute picha ya kwanza kabisa uliyowahi kupiga nae ibandike hapo chini ya jina
4. katafute wimbo wa kwanza kabisa uliyowahi kusikiliza nae au kucheza nae. andika mashairi yake

Na mwisho, kanunue chocolate halafu kula yote bakisha kipande kimoja tu, halafu kimege, nacho kiweke kwenye hilo karatasi, halafu chini yake andika "haiwezi kuwa tamu kama sijakushirikisha hata kidogo"

halafu usiku piga gemu la uhakika!!!
 
fuata steps zifuatazo

1. chukua karatasi
2. juu kabisa andika jina kamili la mke wako, yaani majina yote matatu na ukiweza pia andika jina la mwisho la mama yake kabla hajaolewa, na pia jina lake la utani.....yaani kama wife wako anaitwa Paulina...basi andika Paulina James Mwambeki Kitikikavu Binti Machozi (jina la utani)
3. Katafute picha ya kwanza kabisa uliyowahi kupiga nae ibandike hapo chini ya jina
4. katafute wimbo wa kwanza kabisa uliyowahi kusikiliza nae au kucheza nae. andika mashairi yake

Na mwisho, kanunue chocolate halafu kula yote bakisha kipande kimoja tu, halafu kimege, nacho kiweke kwenye hilo karatasi, halafu chini yake andika "haiwezi kuwa tamu kama sijakushirikisha hata kidogo"

halafu usiku piga gemu la uhakika!!!

We mkali!
 
Gaga kwanini? Kila kitu kinasababu. Mimi sifagilii visherehe sherehe na special occasions (I'm a shy guy :wink2: ) lakini kwasbabu mwenzangu anapenda na hainipunguzii chochote kumfanyia na fanya.Wewe kwanini hupendi V day?
Chochote ambacho utajisikia kumfanyia chaweza kumgusa only if kitakuwa na tafsiri ya Affections na tender care!Pia ni vizuri kujenga tabia ya kumjali mke wako na siyo tu kusubiri special occassions....ladies needs special treatment & recognitions.Kuwa mbunifu ktk kumjali!
 
Back
Top Bottom