For those working abroad or anyone with experience on this ,help please.

prakatatumba

JF-Expert Member
Oct 17, 2011
1,328
190
I was applying for sales job at South Africa, then i was required to fill certain form but i have problem on the following issue;

First Name: so i put my name here
Middle Initial:
Last Name: my last name here
Address Line 1: what do i put here
Address Line 2: and here what do i put?
Address Line 3: what do i put here?

City: Dar es salaam
zip code: what is the zip code of Dar es salaam
State: what do I put here?
country: Tanzania

How would you rate your level of spoken English?


1. Native


2. Fluent (clarification on this)


3. Basic (clarification on this)


4. Intermediate (clarification on this)

Please enter at least one phone number below and check your preferred phone number
Mobile Phone
Alternate Phone




places with red is where the problem i have!Thank you in advance!!!!!!

 
Address line huwa natumia moja(kama ni ya Tanzania)-Je, ni lazima utumie address line zote?
Address line 1: P.O.Box 00000

Sidhani kama Tanzania tuna Zipcode (tusikie wanaJF wengine)

Level of spoken English - Inabidi ujaze kutokana na level yako kati ya hizo tatu in red...i.e. kama ni Fluent (Ufasaha) au hizo zingine mbili...

Kila la kheri!!
 
Address line huwa natumia moja(kama ni ya Tanzania)-Je, ni lazima utumie address line zote?
Address line 1: P.O.Box 00000

Sidhani kama Tanzania tuna Zipcode (tusikie wanaJF wengine)

Level of spoken English - Inabidi ujaze kutokana na level yako kati ya hizo tatu in red...i.e. kama ni Fluent (Ufasaha) au hizo zingine mbili...

Kila la kheri!!

thanks Belinda, nice lips hahahah
 
Hatuna zip au post code. wengi huwa naona wanaweka 255. jaribu uone kama itakubali
 
Lakini waweza pokea mawazo kidogo kutokana na picha uliyoweka. Watu wengine humu JF wana maadili yao na wasingependa kupoteza muda kumshauri mtu ambaye ana identity ambayo ina waelekeza moja kwa moja kujua mantle set-up yake ikoje.

Mimi nimekujibu kwamba jaribu 255 kwenye zip, maana nakupenda na ninakuheshimu maana wewe ni binadamu mwenzangu na mtanzania mwenzangu japo sura uliyoweka inatia kichefuchefu lakini sasa ntafanyaje kwani umekwisha umbwa na hupo duniani.
 
Lakini waweza pokea mawazo kidogo kutokana na picha uliyoweka. Watu wengine humu JF wana maadili yao na wasingependa kupoteza muda kumshauri mtu ambaye ana identity ambayo ina waelekeza moja kwa moja kujua mantle set-up yake ikoje.

Mimi nimekujibu kwamba jaribu 255 kwenye zip, maana nakupenda na ninakuheshimu maana wewe ni binadamu mwenzangu na mtanzania mwenzangu japo sura uliyoweka inatia kichefuchefu lakini sasa ntafanyaje kwani umekwisha umbwa na hupo duniani.

Mdau wewe msaidie kama unajua thts ol,mambo ya picha yake wew hayakuhusu kwani i dont think a website profile may reflect who u are definately,heb acha kuish kama babu yako (mawazo mgando)..mfano tu rais wako mstaaf anavaa cheni does that reflect his mind capability? kafanya mambo makubwa sana tu na ya kuheshimika..
NI MTAZAMO TU SIO SHERIA!!

good day
 
I was applying for sales job at South Africa, then i was required to fill certain form but i have problem on the following issue;

First Name: so i put my name here
Middle Initial:
Last Name: my last name here
Address Line 1: what do i put here
Address Line 2: and here what do i put?
Address Line 3: what do i put here?

City: Dar es salaam
zip code: what is the zip code of Dar es salaam
State: what do I put here?
country: Tanzania

How would you rate your level of spoken English?


1. Native


2. Fluent (clarification on this)


3. Basic (clarification on this)


4. Intermediate (clarification on this)

Please enter at least one phone number below and check your preferred phone number
Mobile Phone
Alternate Phone




places with red is where the problem i have!Thank you in advance!!!!!!


Hapo kwenye, Address mara nyingi kwa kazi za nje wanataka physical address,
mfano: House Number: TNDL/MTG/3434
Street: Mwajuma Maandazi, Tandale kwa Mtogole
District: Kinondoni
Region/Municipal: Dar es salaam

Zip code na state huwa zinasumbua sana, lakini kama fomu inakulazimisha basi weka 255, na state pia kama inakusumbua basi weka Tanzania ama Dar es salaam

Hapo kwenye Lugha

Native-inamaanisha kuwa wewe umezaliwa kwenye hiyo lugha, yaani ni kama kusema mother language ni lugha yako ya asili

Fluent- ni kwa kwamba hauna matatizo yoyote na hiyo lugha, yaani unatiririka bila kuwa na kigugumizi chochote au kutafuta maneno

Basic: hii ni kwamba sio mzuri kwenye lugha na unajua baadhi ya maneno ya msingi tu, ni ngumu kuelewa na kueleweka

intemediate: ni kuwa hauko sawsawa kwenye hiyo Lugha, lakini unaweza kuelewa na kueleweka japo utakuwa na makosa ya hapa na pale, yaani hapa upo katikati ya basic na Fluent
 
no disrespect but if you cant even fill out a simple form like the one above...how would you be able to complete deals in english as a sales person....just wondering no offence tho:thinking:
 
Lakini waweza pokea mawazo kidogo kutokana na picha uliyoweka. Watu wengine humu JF wana maadili yao na wasingependa kupoteza muda kumshauri mtu ambaye ana identity ambayo ina waelekeza moja kwa moja kujua mantle set-up yake ikoje.

Mimi nimekujibu kwamba jaribu 255 kwenye zip, maana nakupenda na ninakuheshimu maana wewe ni binadamu mwenzangu na mtanzania mwenzangu japo sura uliyoweka inatia kichefuchefu lakini sasa ntafanyaje kwani umekwisha umbwa na hupo duniani.

don judge a book with its out cover, ahsante sana but not make fallacies
 
Hapo kwenye, Address mara nyingi kwa kazi za nje wanataka physical address,
mfano: House Number: TNDL/MTG/3434
Street: Mwajuma Maandazi, Tandale kwa Mtogole
District: Kinondoni
Region/Municipal: Dar es salaam

Zip code na state huwa zinasumbua sana, lakini kama fomu inakulazimisha basi weka 255, na state pia kama inakusumbua basi weka Tanzania ama Dar es salaam

Hapo kwenye Lugha

Native-inamaanisha kuwa wewe umezaliwa kwenye hiyo lugha, yaani ni kama kusema mother language ni lugha yako ya asili

Fluent- ni kwa kwamba hauna matatizo yoyote na hiyo lugha, yaani unatiririka bila kuwa na kigugumizi chochote au kutafuta maneno

Basic: hii ni kwamba sio mzuri kwenye lugha na unajua baadhi ya maneno ya msingi tu, ni ngumu kuelewa na kueleweka

intemediate: ni kuwa hauko sawsawa kwenye hiyo Lugha, lakini unaweza kuelewa na kueleweka japo utakuwa na makosa ya hapa na pale, yaani hapa upo katikati ya basic na Fluent

shukrani sana kaka nimetuma na wameniambia wameshapitia ipo poa nisubiri further contacts
 
no disrespect but if you cant even fill out a simple form like the one above...how would you be able to complete deals in english as a sales person....just wondering no offence tho:thinking:
ilikuwa siyo lazima ucomment ndugu, hujawahi kuambiwa kuuliza siyo ujinga!!!hao unaodhani wanajua kiingereza ingia google utakutana nao hawajuhi zip code ingawa wamezaliwa uzunguni, dont shows how afraid and fool u r!!!sorry no disrespect but just wondering
 
Katika nchi nyingi, nchi nzima imegawanywa katika maeneo ambayo hupewa nambari maalum. Nambari hizo huitwa zip codes. Hii ni tofauti kabisa na code ya simu. Ni code ya physical area. Anuani za mahali huonyesha nyumba iko katika kiwanja/plot numba gani (msitari mmoja), na pengine jina la jengo au complex (msitari mmoja), mji/kijiji, zip code, na jina la nchi.
Kwa huku kwetu Bongo tuna utamaduni tofauti wa anuani kwa sababu barua zetu tunachukulia au posta au kazini, hali kadhalika hatuna mazoea ya kutambua mahali kwa kuonyesha nambari hizo tulizozitaja hapo juu. Kwa hivyo jaribu kitu chochote kitakachofaa. Kuna fomu ambazo zitakuacha usijaze zip code, na nyingine zitakuacha ujaze sanduku la posta.
Juu ya lugha, jipime kama u mahiri kabisa huna tatizo la matumizi ya lugha hiyo katika ngazi zote -fluent, kama unaweza lakini kuna matumizi mengine yanakushinda - sema intermediate. Na kama una cha kuombea maji tu, kuagiza chakula mgahawani, kuulizia mahali unapotaka kwenda, kununua tiketi, nk - basic.
Kila la kheri
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom