For Teamo and Co: Baadhi ya imani potofu kuhusu uzazi na watoto

Godii,

Umenikuna sana kwa maelezo yako.


Hilo la kuepusha ndugu wa karibu kuona ni kweli kisayansi kwa sababu kuna kitu kinaitwa inbreeding. Yaani watu ndugu au wanyama kuzaa pamoja. Inasababisha kuendeleza magojwa ya kurithisha lakini pia inapunguza kitu kinaitwa "genetic variability" ambayo huaongeza fitness ya viumbe hai. Hata wanyama wa porini wana strategies za kuzuia inbreeding.

YES HILO LA KUOANA NDUGU NILA UKWELI, WAARABU HUKU LINAWATESA SANA WATOTO WAO WENGI WANAUGUA UGONJWA UNAOITWA KITAALAAM autism
 
zingine

- mama yako akikupiga na mwiko hautaoa

hapa vijana wa kiume walikuwa wanawekewa zengwe la kushinda
jikoni na akina mama.

- ni marufuku kumpa mtu pombe bila kuonja hapo

hapa wazee walikuwa wanaogopa kusumuiana (kupewa sumu). inaelekea
pombe ilikuwa inatumiwa sana kwa kuwekeana sumu :sick:
 
kuna ugonjwa unaitwa "degedege" hii ni homa kali iambatanayo na mwili kukakamaa
na kushtukashtuka (fits) ambayo huwapata watoto. mama mzazi hutakiwa hutakiwa
kuko**lea mtoto mara apatwapo na hiyo degedege. hata kama ni ndani ya daladala.

kama mama hayupo basi mtoto hukimbizwa choo cha shimo na kulengeshwa huko. mweee
 
Back
Top Bottom