The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
....Gaga, huu mchakato umeshakamilika katika hatua ya kwanza ya ku-point! sasa taratibu nyingine ndo zinafuata......!
TF.....big up sana bro, umenipa support sana kwenye mchakato huu! aisee nilimwagiwa mi-PM na emails mpaka nikashindwa ku-organise some face to face encounters.....! so mpaka sasa mchakato kwa hapa JF nataka ufungwe, naendelea na hatua nyinginezo....u know what I am saying bro!
Thanks to the JF people for letting us have this forum......!
HONGERA SANA MKUU natumaini itakuwa kama ilivyo kwenye signature yako tuko pamoja ''Naomba mke nitakaye mpata awe ametoka kwa Bwana'' .......Taluma