AHAHAHAHAHAHA!Habari zenu mabibi! Nipo kwenye harakati za kutafuta mwanamke wa kuishi naye hapa Tanzania: Sifa za mke ninaye mtafuta ni kama ifuatavyo;
Sifa zangu;
- Awe na umri kati ya miaka 25 hadi 32
- Asiwe amewahi kuolewa kwa ndoa ya aina yeyote ile
- Asiwe amewahi kuishi na mume kama mume wake (zile za kuvutana kimya kimya bila ndoa)
- Awe na umbo linalovutia (si bonge sana, si mwembamba sana) ie good looking ...wale wa mkorogo au mawigi....no please...!ninapenda natural beauty!
- Elimu angalau form four na kuendelea
- Awe mfanyakazi au mjasiliamali
- Awe ni mkristo -RC au kama ni dhehebu lingine (sio ulokole) awe tayari kuwa RC
- Asiwe na kuburi kabisaaaa
- Asiwe na hasira, jaziba au vuvuzela
- Asiwe mchafu, awe anapenda usafi wa mwili wake, nyumba, mazingira anayoishi, viwalo vyake etc
- Awe mke mwenye hekima, busara na adabu kwa wakubwa wake
- Awe mke anayeheshimu mila na desturi za kiafrika...asiwe adicted kwenye western culture tu.
- Awe tayari (if god wishes) kuzaa watoto wasiozidi wawili tu
- Awe tayari kupima VVU -wakati ukiwadia
- Awe mtanzania wa kabila lolote
Tafadhali kwa anaye endana na wasifu huo na ambaye hupo tayari kuishi na mimi pamoja na wasifu wangu hapo juu, naomba tuwasiliane kwa njia zifuatazo;
- Elimu chuo kikuu -na professional certificate
- Umri miaka 34
- Kabila Mnyalu
- Mfanyakazi na mjasiliamali
- Nina huruma sana for the ''needy'' people
- Nina kunywa ....hasa weekends!
- Nina watoto wawili - mama yao tuliachana (hakukuwa na ndoa yeyote) baada ya kushindwa kuelewana
- Niko rafu (kuvaa, kula) lakini napenda mke asiwe rafu kama mimi
- Nina jiamini
- Ni mrefu - 1.67m
- Uzito 84kgs
- Occassionaly huwa naenda club
- Ni mweusi ila kidogo maji ya kunde
- Napenda muziki - wa dini na uraiani
Tafadhali naomba kwa wale walio serious tu ndo wanitumie PM au email, hakuna mzaha au utani ninamaanisha niliyoyaandika!
- PM - hapa JF
- Email : taluma77@yahoo.com
Asante na Mungu awabariki sana!
Kaka huko kweny u-baba paroko noma.......! I trust kuna wachumba wengi sana out there and will get one!
Mbona unaangua kicheko hivo? saidia kusambaza ujumbe huo basi!
What's the status Taluma bado bila bila?????
Unauogopa eheee!!!
PM zitakuja tu mazee
Ama kweli mchakato wa kupata mchumba jf ni mgumu kama mchakato wa kutengeneza katiba mpya.
Habari lako binafsi taluma ushauri tu si lazima uubebe. Kwa sababu umeshaacha ungechukua alieachika mwenzio mtaenda sambamba sana. Ila du watu mzae watoto wawili halafu muachane hii ni mbaya sana kwa watoto.
Ama kweli mchakato wa kupata mchumba jf ni mgumu kama mchakato wa kutengeneza katiba mpya.
Husninyo,
ni siku mbili tu zimepita tangia kuweka haka kabango hapa, so ili kupata the very right one nafikiri itachukua muda......!labda itokee coincidence na upande wa pili alikuwa anatafuta mtu mwenye sifa zangu.....!
Mpe wiki tu ataona vitu vinamwagika vyenyewe
msaidie kutafuta. Leo kwake kesho kwako bwana.