For serious & single ladies: Nipo kwenye harakati za kutafuta mke mwema

Habari zenu mabibi! Nipo kwenye harakati za kutafuta mwanamke wa kuishi naye hapa Tanzania: Sifa za mke ninaye mtafuta ni kama ifuatavyo;
  • Awe na umri kati ya miaka 25 hadi 32
  • Asiwe amewahi kuolewa kwa ndoa ya aina yeyote ile
  • Asiwe amewahi kuishi na mume kama mume wake (zile za kuvutana kimya kimya bila ndoa)
  • Awe na umbo linalovutia (si bonge sana, si mwembamba sana) ie good looking ...wale wa mkorogo au mawigi....no please...!ninapenda natural beauty!
  • Elimu angalau form four na kuendelea
  • Awe mfanyakazi au mjasiliamali
  • Awe ni mkristo -RC au kama ni dhehebu lingine (sio ulokole) awe tayari kuwa RC
  • Asiwe na kuburi kabisaaaa
  • Asiwe na hasira, jaziba au vuvuzela
  • Asiwe mchafu, awe anapenda usafi wa mwili wake, nyumba, mazingira anayoishi, viwalo vyake etc
  • Awe mke mwenye hekima, busara na adabu kwa wakubwa wake
  • Awe mke anayeheshimu mila na desturi za kiafrika...asiwe adicted kwenye western culture tu.
  • Awe tayari (if god wishes) kuzaa watoto wasiozidi wawili tu
  • Awe tayari kupima VVU -wakati ukiwadia
  • Awe mtanzania wa kabila lolote
Sifa zangu;
  • Elimu chuo kikuu -na professional certificate
  • Umri miaka 34
  • Kabila Mnyalu
  • Mfanyakazi na mjasiliamali
  • Nina huruma sana for the ''needy'' people
  • Nina kunywa ....hasa weekends!
  • Nina watoto wawili - mama yao tuliachana (hakukuwa na ndoa yeyote) baada ya kushindwa kuelewana
  • Niko rafu (kuvaa, kula) lakini napenda mke asiwe rafu kama mimi
  • Nina jiamini
  • Ni mrefu - 1.67m
  • Uzito 84kgs
  • Occassionaly huwa naenda club
  • Ni mweusi ila kidogo maji ya kunde
  • Napenda muziki - wa dini na uraiani
Tafadhali kwa anaye endana na wasifu huo na ambaye hupo tayari kuishi na mimi pamoja na wasifu wangu hapo juu, naomba tuwasiliane kwa njia zifuatazo;
Tafadhali naomba kwa wale walio serious tu ndo wanitumie PM au email, hakuna mzaha au utani ninamaanisha niliyoyaandika!

Asante na Mungu awabariki sana!
AHAHAHAHAHAHA!
nimekusoma
 
Mie pia naruhusiwa?
Nina mtoto mmoja nina
30 years
Niliolewa si kwa ndoa nikaachika
Ninafikiliwa ??
 
Mie pia naruhusiwa?
Nina mtoto mmoja nina
30 years
Niliolewa si kwa ndoa nikaachika
Ninafikiliwa ??

...vigezo vingine vipi? ''mliachana'' au uliachwa? You never know .....chemistry ikikubali mambo yanaweza kuwa mazuri.....rusha email or PM!
 
Ama kweli mchakato wa kupata mchumba jf ni mgumu kama mchakato wa kutengeneza katiba mpya.
 
Habari lako binafsi taluma ushauri tu si lazima uubebe. Kwa sababu umeshaacha ungechukua alieachika mwenzio mtaenda sambamba sana. Ila du watu mzae watoto wawili halafu muachane hii ni mbaya sana kwa watoto.
 
Ama kweli mchakato wa kupata mchumba jf ni mgumu kama mchakato wa kutengeneza katiba mpya.

Husninyo,

ni siku mbili tu zimepita tangia kuweka haka kabango hapa, so ili kupata the very right one nafikiri itachukua muda......!labda itokee coincidence na upande wa pili alikuwa anatafuta mtu mwenye sifa zangu.....!
 
Habari lako binafsi taluma ushauri tu si lazima uubebe. Kwa sababu umeshaacha ungechukua alieachika mwenzio mtaenda sambamba sana. Ila du watu mzae watoto wawili halafu muachane hii ni mbaya sana kwa watoto.

...true ni mbaya kwa watoto but we only have one opportunity hapa duniani ''we only live once'' ...so always we need to fight for happiness sio eti kuvumilia matatizo yanayoweza kuepukika!

...aliyeachika? no hiyo formula siyo lazima Maty.....key thing ni kupendana zaidi! mbona kuna couple nyingi sana za hivo?
 
Husninyo,

ni siku mbili tu zimepita tangia kuweka haka kabango hapa, so ili kupata the very right one nafikiri itachukua muda......!labda itokee coincidence na upande wa pili alikuwa anatafuta mtu mwenye sifa zangu.....!


kwa sababu wanawake wako wengi utapata ambae anatamani kuolewa na c ajuae maana ya ndoa, lakini ajuae maana ya ndoa alieachika ndio atataka sifa kama hizo zako, tatizo unafikiri mke uliemuacha unaweza ukapata kama yeye inategemea kuna wengine wamekimbia tabu ulizokimbia wewe kwa hao wanaume waliowahi ishi nao.




 
:-* kwani katika kusoma kwako kote mpaka chuo kikuu , na kazi zako ulizofanya ni kweli hujaona mwenye ivo vigezo? :-*
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom