Sharp green.... huruma yako inawakumba wadada wenye emotional need?:suspicious:
Red.... Mwendo huohuo, madili mengine hupatikania bar..:kev:
Navy Blue... nasikitika...kuna ka harufu ka ufisadi wa mapenzi hapa!!
Light green... umimaliza khabari....huyo mtarajiwa apende dume'MGUMU' asilia?inabidi umuumbe mwenyewe huyo demu!!:shock:
naenda kaunta
pamoja na sifa zako lakini jua tuu kuwa mke mwema hutokea kwa bwana,........ushauri subiri mwanamke aliye takikika......
Kuna dada mmoja kaachika 2times ngoja nicheki nae alikua anatafuta mtu mwenyesifa ka zako.
Sharp green.... huruma yako inawakumba wadada wenye emotional need?:suspicious:
Red.... Mwendo huohuo, madili mengine hupatikania bar..:kev:
Navy Blue... nasikitika...kuna ka harufu ka ufisadi wa mapenzi hapa!!
Light green... umimaliza khabari....huyo mtarajiwa apende dume'MGUMU' asilia?inabidi umuumbe mwenyewe huyo demu!!:shock:
naenda kaunta
ukimpata tushtue tuanzishe sredi la michango. halaf kwavile umempata JF tutawaomba mod wakupe upremium member direct.
all ze best jibaba.
...Mamushika, Mkeshahoi hapo kainyumbua CV kivingine vingine.....though kuna kaukweli fulani ndani yake.......!Wewe ndo umemaliza kila kitu. Kula bia my dia usiogope ntakuja kulipa.
...Bora umwambie weye.....!Soma post vizuri, yeye ana watoto wawili na ameachana na mke ila hataki alieachana na mume.
....Bado mkuu TF.....! Just masaa 24 tu yamepita! nitasubiria mpaka kieleweke......! leo nilitamani niweke hili bango pale church but lol ni noma!Taluma bado haujapata|???
ukimpata tushtue tuanzishe sredi la michango. halaf kwavile umempata JF tutawaomba mod wakupe upremium member direct.
all ze best jibaba.
...Mamushika, Mkeshahoi hapo kainyumbua CV kivingine vingine.....though kuna kaukweli fulani ndani yake.......!
...Bora umwambie weye.....!
....Bado mkuu TF.....! Just masaa 24 tu yamepita! nitasubiria mpaka kieleweke......! leo nilitamani niweke hili bango pale church but lol ni noma!
TF,
Ubarikiwe kwa kunipa moyo mkuu!
TF,
Ubarikiwe kwa kunipa moyo mkuu!
bado hujapata?
Demokrasia ikishindikana itabidi tutumie umafia. Lol!
utawapata kabisa nna uhakika,kwa wengine bado kuolewa ni sheria
Si ulisema unatafuta mchumba kwanini usiingie kwenye list ya Taluma